UDA Yatinga Kwa Kishindo Katika Uchaguzi mdogo Narok, Elgeyo Marakwet na Samburu
Chama cha United Democratic Alliance (UDA) kimeibuka na ushindi mkubwa katika chaguzi mbalimbali za ubunge na uwakilishi wa wadi zilizofanyika katika kaunti za Narok, Elgeyo...
Gachagua Atishia Kuhamasisha Gen Z Kuingia ofisi za Serikali
Aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua ametishia kuwakusanya Gen Z kuingia afisi za serikali kwa madai ya ubaguzi katika utoaji wa hati za utambulisho.Gachagua alizungumza wakati...
Gachagua avunja ukimya kuhusu madai ya Malala kuasi DCP
Aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua amezungumzia tetesi zinazoongezeka kuhusu aliko Cleophas Malala, naibu kiongozi wa Chama cha Demokrasia kwa Wananchi (DCP) na mmoja wa washirika...
Suluhu ndiye suluhu ya Tanzania
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameshinda muhula wa kwanza kamili kwa asilimia 97.66% ya kura zilizopigwa katika uchaguzi wenye utata uliogubikwa na maandamano yenye...
Niffer amehamasisha Vurugu na kuharibu miundombinu- Polisi
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kumkamata na linamhoji Jenifer Bilikwiza Jovin almaarufu Niffer leo tarehe Oktoba 27, 2025 majira ya...
Kalonzo Afichua Mpango Wa Ruto na Raila Kuvuruga Uchaguzi Wa 2027
Kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka amejitokeza na kufichua mipango ya Rais William Ruto na mwandani wake Raila Odinga ya kuvuruga uchaguzi ujao wa...