Wakaazi kadhaa waliripoti kujeruhiwa baada ya jengo la ghorofa kuporomoka katika eneo la Marikiti mjini Mombasa.
Jengo moja katika eneo la Marikiti kaunti ya Mombasa liliporomoka mnamo Jumamosi, Mei 27, baada ya kupata nyufa.Taarifa zilieleza kuwa wakazi kadhaa walijeruhiwa na kukimbizwa...
Kijana wa miaka 9 Mkenya Aymen Onyango anajiunga na wababe wa EPL Manchester City
Aliekuwa Mchezaji wa Kimataifa wa Raga wa Kenya, Lucas Onyango, amekuwa Baba mwenye furaha baada ya Mtoto wake Aymen Onyango kusajiliwa na Klabu ya Manchester...
PSG Mbrazil Neymar Jr na mpenzi wake Bruna Biancardi wazua gumzo mtandaoni
Supa Star wa klabu ya PSG Mbrazil Neymar Jr na mpenzi wake Bruna Biancardi wamezua gumzo mtandaoni mara baada ya kuchapisha picha ya pamoja wakionyesha...
KITENGE ARUDI WASAFI AKIWA NA GERALD HANDO.
Diamond hataki mchezo kwani kapambana kuhakikisha Mtangazaji nguli wa vipindi vya michezo Tanzania Maulid Kitenge anarejea Wasafi Media akitokea EFM ambapo safari hii amerejea akiwa...
“FAMILIA INA WATOTO KIBAO NIANDIKE MALI ZANGU JINA LA MAMA, SIFANYI UJINGA WA HAKIMI” – BABALEVO
Mwanamitandao na msanii BabaLevo ameibuka na kuwashangaa wanaume wanaomuiga mchezaji Hakimi ambaye anatrend kwa kumuandikisha mama yake mzazi mali zake zote na si mkewe ambapo...
?????? ?? ??????? ?????????. ?? ???!.. ???!.. ????????? ?????????, ??????????? ?????????. ?????? ?? ?? ?? ???????.
Kufikia sasa timu ya chelsea imepokea mapigo mengi zaidi kwa ligi kuu kushinda michezo waliyo shinda. Wameweza kupoteza michezo 3 ikifuatana kufikia sasa. 1-0 dhidi...