Askofu Jackson Ole Sapit aikosoa serikali kwa kupanda kwa gharama ya maisha.
Askofu mkuu Jackson Ole Sapit ameitaka serikali kuweka mikakati upya ya utekelezaji wa ahadi walizozitoa katika kipindi cha kampeni huku akisema kuwa ni wakati sasa...
“WWE” Kuandaa Pambano Kati ya nyota wa klabu ya Al Nassr Cristiano Ronaldo dhidi ya John Cena
Kampuni inayojihusisha na michezo ya mieleka duniani maarufu kama "WWE" ina mpango wa kuandaa pambano kati ya nyota wa klabu ya Al Nassr Cristiano Ronaldo...
Afueni kwa Seneta Mungatana baada ya Mahakama kutoa muelekeo w Kesi ya Ksh76 Milioni
Afueni kwa Seneta wa Tana River Danson Mungatana baada ya mahakama kutoa muelekeo wa kesi ambapo alikuwa ameshtaki raia wa Chad kwa kumtapeli Ksh76 milioni....
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tundu Lissu ameachiwa kwa dhamana baada ya kukamatwa Jeshi la Polisi mkoani Arusha
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu na wenzake wameachiwa kwa dhamana na Jeshi la Polisi Mkoani Arusha baada ya kukamatwa kwa tuhuma za kufanya mikusanyiko...
Harambee Stars Yawika Qatar FULL TIME: Qatar 1-2 Kenya
Harambee stars iliilaza wenyeji wa Kombe la Dunia 2022 Qatar mabao 2-1 Alhamisi jioni katika mechi ya kirafiki iliyochezwa katika uwanja wa Al Janoub mjini...
Watu 12 wafariki katika ajali mbaya ya barabarani Voi
Takriban watu 12 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya barabarani iliyohusisha lori aina ya Nissan katika eneo la Ndii huko Voi, Kaunti ya Taita Taveta....