Lucia Witbooi Ateuliwa Kuwa Makamu wa Rais Katika Baraza la Mawaziri Nchini Namibia
Rais mpya wa Namibia Netumbo Nandi-Ndaitwah amemteua Lucia Witbooi kuwa Makamu wa Rais katika Baraza la Mawaziri lililopunguzwa. Nandi-Ndaitwah, ambaye aliapishwa Ijumaa baada ya chama...
Ofa Ya PSG Dhidi ya Yamal Yagonga Mwamba
Paris Saint-Germain (PSG) ilitoa ofa ya €250 milioni kwa ajili ya kutaka kumsajili Lamine Yamal kutoka FC Barcelona, lakini ofa hiyo imekataliwa. Hata hivyo, nyota...
Wafanyakazi wa VOA Kwenda likizo Baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kutia saini amri ya utendaji
Wafanyakazi wa VOA wamewekwa likizo siku ya Jumamosi, baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kutia saini amri ya utendaji Wafanyakazi wa Sauti ya Amerika...
Kesi Dhidi Ya Platini Na Blatter Kuanza Yaendelea
Aliyekuwa rais wa FIFA, Sepp Blatter, na gwiji wa soka wa Ufaransa, Michel Platini, wamefika tena mahakamani nchini Uswisi kujibu mashtaka ya ubadhirifu. Mnamo 2022,...
Arsenal Kumkosa Havertz Msimu Mzima
Arsenal itamkosa mshambuliaji wake Kai Havertz katika mechi zote zilizobakia msimu huu baada ya kupata maumivu ya misuli katika kambi ya timu hiyo inayoendelea Dubai....
Vilabu vya Norway vyapiga kura kufuta VAR
Taarifa kutoka nchini Norway inaeleza kuwa Vilabu vimepiga kura ya kutaka kuiondoa teknolojia ya VAR kutumika katika ligi yao kwa sababu Ina unyonyaji mwingi ndani...