Wabunge Waidhinisha Hoja Ya Kumbandua Waziri Wa Kilimo Mithika Linturi
Mnamo Alhamisi, Mei 2, wabunge 149 walipiga kura kuendelea na mchakato wa kumtimua CS Linturi huku 36 kati yao wakiupinga. Ni 3 tu ambao hawakushiriki....
Uingereza Kwachacha! Arsenal, Man City Wanusia Kombe
Kinyang'anyiro cha kuwania taji la Premier League kinaelekea ukingoni huku ikiwa nguzu zaidi kwa watabiri wa mpira wa kandanda kubaini washindi kati ya Arsenal, Manchester...
Harambee Stars Kucheza Mechi Zake Ugenini
Timu ya Taifa ya Harambee Stars itacheza mechi zake nje ya Kenya kufuatia viwanja nchini humo kutokidhi vigezo vilivyowekwa na CAF. Kenya inatarajia kucheza michezo...
Serikali Ya Kaunti Ya Kilifi Yasambaza Mbegu Za Mahindi Na Mbolea Kwa Wakulima
Uongozi wa kaunti ya Kilifi ikiongozwa na Gavana Mung'aro imezindua rasmi mpango wa usambazaji wa mbegu za mahindi tani 66 na mbolea bila malipo, zikiwalenga...
Mamelodi Sundowns Wafuzu Kwa Nusu Fainali Ya CAF Baada Ya Kuibwaga Yanga SC [3] 0-0 [2]
Young Africans wameondolewa kwenye michuano ya CAF Champions League. Mamelodi Sundowns wamefuzu kwa Nusu Fainali. Mamelodi Sundowns yatinga nusu fainali ya michuano ya Caf Champions...
TOTTENHAM WAKWEA JEDWALI KWA MDA VIJANA WA UNAI EMERY WAKIDAI NAFASI YAO
Bao la dakika za lala salama la Son Heung-min liliiinua klabu ya Tottenham dhidi ya Luton 2-1 katika Ligi Kuu ya Uingereza Jumamosi na kuendeleza...