Cristiano Kuweka Rekodi Ya Mkataba Mpya Uraibuni
Cristiano Ronaldo yuko mbioni kusaini mkataba mnono mpya ambao utamfanya kuwa mwanasoka anayelipwa pesa nyingi zaidi duniani. Al-Nassri inayoshiriki Saudi Pro League imetajwa kumpatia Cr7...
MAREKANI : MSALABA WA PEPPERDINE AUKUGUSWA NA MOTO
Msalaba maarufu ulioko kwenye kilima katika Chuo Kikuu cha Pepperdine, Malibu, California, ulibaki bila kuguswa kabisa baada ya moto wa Franklin uliotokea Desemba 11, 2024....
Ndege ndogo yaanguka huko Malindi
Ndege nyepesi imeanguka na kuteketea katika eneo la Kwachocha huko Malindi. Tukio hilo lilitokea Ijumaa, Januari 10 alasiri.Ripoti zinaonyesha kuwa ndege hiyo ilianguka kando ya...
Jacqueline Wolper, amethibitisha kuachana na Mume wake, Rich Mitindo
Mwigizaji wa filamu na Mfanyabiashara nchini Jacqueline Wolper, amethibitisha kuachana na Mume wake, baba watoto wake Rich Mitindo, na kwa sasa anashughulikia suala la talaka....
Merchan anaamuru Trump kuhudhuria hukumu mnamo Januari 10
Jaji Juan Merchan wa Mahakama kuu ya New York, ameamuru Rais mteule wa Marekani Donald Trump ahukumiwe kabla ya kuapishwa, katika kesi ya kughushi rekodi....
MASHABIKI WAMSHUSHIA SHUSHO MATUSI KISA MARTHA MWAIPAJA
Mashabiki wameonesha kuchukizwa na kitendo cha Christina shusho kumpandisha mazabauni Martha mwaipaja kabla hajamaliza tofauti na mama yake mzazi, wamchamba kisawasawa. Mwimbaji mashuhuri wa nyimbo...