Mombasa Yakumbwa na Tetemeko Kuu la Ardhi
Kenya ilikumbwa na tetemeko la ardhi la wastani siku ya Jumapili, na kusajili ukubwa wa 4.5 karibu na miji yake ya pwani na jiji la...
AUNTY: NILIISHI MAISHA MACHAFU NIPATE KIKI
Nyota wa filamu nchini Gwantwa Ezekiel (Aunty Ezekiel) amefunguka kuwa kipindi cha nyuma kabla ya kupata watoto alikuwa akijiachia sana kwa lengo la kutafuta kiki...
Mechi zote za Serie A za leo zimeahirishwa kufuatia kuaga kwa Papa Francis.
Kufuatia kifo cha Papa Francis huko Rome, Serie A wamethibitisha kuasimamishwa kwa michezo ya leo ya ligi katika Serie A na Primavera 1. Tarehe ya...
Masaibu Ya Mshika Bendera, Rodriguez Moreno
MSHIKA KIBENDERA, Rodriguez Moreno jana aliipata pesa yake kwa mateso sana, hapo sio katika jukwaa la maonesho ya wapiga sarakasi bali hapo ni uwanjani. Ni...
Matasi Kutoshiriki Mpira Siku 90 Baadae Ya Kufungiwa Na FKF
Shirikisho la soka la nchini Kenya (FKF) limemsimamisha Golikipa namba moja wa Taifa hilo na Tusker FC Patrick Matasi kwa muda wa siku 90 kutokushiriki...
Mtawala wa kijeshi wa Niger ameapishwa kuwa rais wa nchi hiyo kwa kipindi cha mpito cha miaka mitano
Jenerali Abdourahamane Tchiani ameongoza nchi hiyo tangu 2023, baada ya kumuondoa madarakani Rais mteule wa Niger, Mohamed Bazoum. Siku ya Jumatano, Jenerali Tchiani alichukua wadhifa...