Kijana wa miaka 9 Mkenya Aymen Onyango anajiunga na wababe wa EPL Manchester City
Aliekuwa Mchezaji wa Kimataifa wa Raga wa Kenya, Lucas Onyango, amekuwa Baba mwenye furaha baada ya Mtoto wake Aymen Onyango kusajiliwa na Klabu ya Manchester...
KITENGE ARUDI WASAFI AKIWA NA GERALD HANDO.
Diamond hataki mchezo kwani kapambana kuhakikisha Mtangazaji nguli wa vipindi vya michezo Tanzania Maulid Kitenge anarejea Wasafi Media akitokea EFM ambapo safari hii amerejea akiwa...
ππππππ ππ πππππππ πππππππππ. ππ πππ!.. πππ!.. πππππππππ πππππππππ, πππππππππππ πππππππππ. ππππππ ππ ππ ππ πππππππ.
Kufikia sasa timu ya chelsea imepokea mapigo mengi zaidi kwa ligi kuu kushinda michezo waliyo shinda. Wameweza kupoteza michezo 3 ikifuatana kufikia sasa. 1-0 dhidi...
CROATIA YAILAZA MOROCCO MABAO 2-1 NA KUINGIA TIMU 3 BORA ZA KOMBE LA DUNIA MWAKA 2022
#Croatia imefanikiwa kushika nafasi ya tatu kwa kushinda dhidi ya #Morocco magoli 2-1 Mchezo pekee uliosalia ni wa Fainali, wa timu ya #Argentina dhidi ya...
NGOMA YA HARMONIZE AMELOA YAPIGWA QATAR !!! KOMBE LA DUNIA
Star wa bongo flava na CEO wa Record ya label ya Kondegang, msanii Harmonize, ameweza kupata shavu kubwa baada ya wimbo wake βAmeloaβ kupigwa nchini...
ARSENAL Yamteua Edu Gaspar Kuwa Mkurugenzi Wa Michezo
Klabu ya soka ya Arsenal imemteua Edu Gaspar kuwa Mkurugenzi Wa Michezo wa timu hiyo. "Tunayo furaha kutangaza kwamba Edu Gaspar ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wetu...