Manchester United Kuingia Sokoni Januari Kusaka Mshambuliaji Wa Kumsaidia Rasmus Hojlund

Share this story

Manchester United wanapanga kuongeza mshambuliaji wa kumsaidia fowadi wao Rasmus Hojlund, mwezi Januari baada ya kuibuka wasiwasi juu ya maendeleo ya mchezaji huyo aliyepewa majukumu mazito akiwa na umri mdogo. Hojlund tayari amefunga mabao matatu kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya, ingawa anaonekana kuanza kwa kigugumizi kwenye Ligi Kuu England, baada ya kushindwa kupachika bao kwenye…


Share this story

Manchester United Kuingia Sokoni Januari Kusaka Mshambuliaji Wa Kumsaidia Rasmus Hojlund

Share this story

Manchester United wanapanga kuongeza mshambuliaji wa kumsaidia fowadi wao Rasmus Hojlund, mwezi Januari baada ya kuibuka wasiwasi juu ya maendeleo ya mchezaji huyo aliyepewa majukumu mazito akiwa na umri mdogo. Hojlund tayari amefunga mabao matatu kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya, ingawa anaonekana kuanza kwa kigugumizi kwenye Ligi Kuu England, baada ya kushindwa kupachika bao kwenye…


Share this story

Manchester United Kuingia Sokoni Januari Kusaka Mshambuliaji Wa Kumsaidia Rasmus Hojlund

Share this story

Manchester United wanapanga kuongeza mshambuliaji wa kumsaidia fowadi wao Rasmus Hojlund, mwezi Januari baada ya kuibuka wasiwasi juu ya maendeleo ya mchezaji huyo aliyepewa majukumu mazito akiwa na umri mdogo. Hojlund tayari amefunga mabao matatu kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya, ingawa anaonekana kuanza kwa kigugumizi kwenye Ligi Kuu England, baada ya kushindwa kupachika bao kwenye…


Share this story

Sheffield Wednesday kwenye msururu wa kuporomoka baada ya mmiliki kuamuru mashabiki kulipa £2m kuokoa klabu

Share this story

Mmiliki wa Sheffield Wednesday, Dejphon Chansiri amewaomba mashabiki kuchangisha pauni milioni 2 ili kuizuia klabu hiyo kuangukia katika vikwazo vitatu mfululizo vya kusajili pamoja na kukidhi mahitaji mengine ya klabu. Mwenyekiti pia amekiri wachezaji na wafanyakazi katika klabu ya Championship huenda wasipate malipo kutokana na “maswala ya mzunguko wa fedha”. Chansiri alisema deni la HMRC…


Share this story