De Rossi apigwa kalamu na AS Roma
AS Roma imempiga kalamu kocha wao Daniele De Rossi baada ya matokeo mabaya kwa mechi nne za mwanzo wa msimu wa 2024/25 katika Ligi ya...
Wakili Bwire Super Cup Yarejea Rasmi.
Mbunge wa Taveta Wakili Bwire ametangaza kurejea kwa Wakili Bwire Super cup. Kupitia ukurasa wake rasmi wa facebook mbunge huyo ametangaza kurejea kwa mashindano hayo...
Luis Suarez Ametangaza Kustaafu kuichezea Uruguay kumbukumbu za Ghana zikizua kwa mashabiki.
Wakati wa Kombe la Dunia 2010 pale Afrika Kusini, Mechi ya robo fainali dhidi ya Ghana, Stephen Appiah wa Ghana akiwa anaelekea kuweka Historia ya...
Victor Osimhen Kujiunga Galatasaray Kwa Mkopo.
Galatasaray wamekata tiketi ya ndege kwa ajili ya Victor Osimhen ikiwa yote yataenda vizuri kulingana na mkataba.Mkataba wa mkopo umekamilika na kukubaliana na Napoli, maelezo...
Goli la Eze linawahakikishia Crystal Palance pointi ugenini dhidi ya Chelsea
Chelsea ilipoteza uongozi na kupata sare ya 1 – 1 dhidi ya Crystal Palace uwanjani Stamford Bridge Jumapili. Nicolas Jackson aliwatanguliza Chelsea dakika ya 25...
Liverpool Yaicharaza United Tatu Bila Nyumbani
Liverpool imedumisha ushindi wa mechi tatu mfululizo kwenye Ligi ya EPL baada ya kuitinga Manchester United 3 – 0 uwanjani Old Trafford Jumapili. Luis Diaz...