Dkt.Hussein Ali Mwinyi ashinda tena Urais Zanzibar kwa asimilia 74.8 ya kura zote halali
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imemtangaza Dkt. Hussein Ali Mwinyi kuwa mshindi wa nafasi ya Rais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 29...
Zoezi la uthibitishaji la Mfuko wa NYOTA nchini kote linaanza
Zoezi la kitaifa la uthibitishaji wa kipengele cha Usaidizi wa Biashara cha Mpango wa NYOTA limeanza rasmi katika maeneo bunge yote nchini Kenya. Zoezi hilo...
Za Diddy Zafika, Miezi 50 Jela kwa kosa la ukahaba
Mwanamuziki wa Marekani, Sean “Diddy” Combs amehukumiwa kifungo cha miezi 50 jela (takribani miaka 4) pamoja na faini ya Dola 500,000 kwa kosa la usafirishaji...
DOGO JANJA ATUHUMIWA KUMPIGA MWANAFUNZI RISASI .
Jeshi la Polisi mkoani Arusha limesema linafanya uchunguzi wa tukio la Bakari Halifa Daud (18), mkazi wa Sombetini Jijini Arusha kujeruhiwa kwa risasi mguuni na...
Marekani yasitisha chanjo ya chikungunya baada ya ripoti za madhara makubwa
Marekani imesitisha leseni ya chanjo ya Ixchiq dhidi ya virusi vya chikungunya kufuatia ripoti za madhara makubwa.Katika taarifa yake siku ya Jumatatu, Valneva, kampuni ya...
Africa Mashariki Imezindua Mfumo Wa Dhamana wa EACBond
Jumuiya ya Afrika Mashariki, EAC leo imezindua 𝑬𝑨𝑪𝑩𝒐𝒏𝒅, dhamana ya kikanda ya udhamini wa biashara. Hatua hiyo, inachukua nafasi ya hitaji la dhamana nyingi za...