Rayvany Kaweka Album Ya Harmonize #VisitBongo Badala Ya Yakutoa Nyimbo Zake 5 Kama Alivyoahidi
Rayvany alikuwa ameahidi kutoa nyimbo zake 5 siku ya jana ila hakufanya hivyo. Alichokifanya ni kueka Instastory Album ya Harmonize #visitbongo badala yake kutoa nyimbo...
Alichosema Rayvanny Baada Ya Kufika Kwa Harmonize Kuchukua Tuzo Alilobebewa Na Harmonize Kutoka Marekani.
Baada ya Harmonize kumchukulia Rayvanny tuzo kutoka USA na kumwambia aifuate Aiport kesho au aifuate Konde Village, hatimaye Rayvany ameendea tuzo nyumbani kwa Harmonize. Rayvanny...
WASANII WATAKAO PERFORM KWENYE ZAMA ZAO FESTIVAL WAMESAHAU LYRICS ZAO- KIDIS
Msanii kutoka pwani Kidis The Jembe amesema kuwa wasanii wengi walioalikwa kutumbuiza kwenye zama zao festival ni wakongwe ambao hawajafanya maonyesho kwa Zaidi ya miaka...
Harmonize Alimchukulia Rayvany Tuzo Kutoka USA, Ampa Maagizo Atakavyo Ipata
Msani Harmonize Amemtaka Msani Mwezake Rayvanny kuja kuchukua Tuzo yake ya #AEAUSA 2023 Ambapo harmonize_tz limchukulia Tuzo hio kwa niaba ya Rayvanny Huku akimtaka afike...
BASATA lawafungia Whozu, Billnass Na Mbosso Na Kuwapiga Faini Kisa Wimbo Wao ‘Ameyatimba’.
Wasanii Mbosso, Whozu na Billnass wametozwa faini ya milioni tatu kila mmoja na kufungiwa kutokujishughulisha na kazi za sanaa kwa muda wa miezi mitatu kuanzia leo November...
DIAMOND : SABABU ZA KUTOMILIKI PRIVATE JET.
Boss wa Wasafi, Diamond Platinumz amefunguka kutapeliwa zaidi ya Billion Nne.Kupitia mahojiano yake na wanahabari. Diamond amesema kwamba mipango yake ilivurugika baada ya kutapeliwa. “Mimi...