Mwanasiasa Mkongwe wa Uganda Jenerali Moses Ali Afariki Dunia Akiwa na Miaka 87
Aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu wa Pili wa Uganda na mwanasiasa mkongwe, Jenerali (Mstaafu) Moses Ali, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 87 baada ya...
Ruto Aagiza Kaunti Kusamehe Vibali vya Biashara kwa Vijana wa Mpango wa NYOTA kwa Miaka Miwili
Rais William Ruto ameagiza serikali zote za kaunti nchini kusamehe ada za vibali vya biashara kwa kipindi cha miaka miwili kwa vijana wanufaika wa Mpango...
Kenya Airways Yarudisha Boeing 777-300ER, Yalenga Kuimarisha Safari za Kimataifa
Shirika la Ndege la Kenya Airways (KQ) limetangaza kurejesha rasmi ndege yake aina ya Boeing 777-300ER katika huduma, hatua inayotajwa kuwa sehemu ya mkakati wa...
Dangote Atangaza Kiwanda Kipya cha Kusafisha Mafuta Kujengwa Kenya Badala ya Tanzania
Bilionea wa Nigeria, Aliko Dangote, ametangaza rasmi kuwa kiwanda chake kipya cha kusafisha mafuta barani Afrika kitajengwa nchini Kenya badala ya Tanzania. Uamuzi huo unatajwa...
Gavana Mwadime Awateua Alfred Mlolwa na Dishon Mngoda Kujiunga na Baraza la Mawaziri la Kaunti
Gavana wa Kaunti ya Taita Taveta, Dkt. Andrew Mwadime, amewateua aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Huduma za Umma ya Kaunti (CPSB), Alfred Mlolwa, pamoja na...
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa ICC Karim Khan Asimamishwa Kazi Kufuatia Tuhuma za Unyanyasaji wa Kingono
Karim Khan, Mwendesha Mashtaka Mkuu wa International Criminal Court, amesimamishwa kazi kwa muda kufuatia uchunguzi wa kinidhamu unaohusiana na tuhuma za unyanyasaji wa kingono dhidi...