Wanamziki Wamuomboleza Promota Musa Babaz
Wanamziki wa East Afrika wanaendelea kutuma risala za rambi rambi kwa familia ya Promota wa Muziki Musa Babaz ambaye aliaga dunia siku ya jana. Musa...
ANERLISA AMUUMBUA BEN POL
Mwanadada Anerlisa kutoka Kenya amemuumbua Ben Pol (Aliyekuwa mume wake) baada ya kuvujisha meseji za msanii huyo akimbembeleza na kuelezea alivyomkumbuka. Anerlisa Muigai amemuumbua aliyekuwa...
Ngumi moja pekee la Daniel Wanyonyi lamyamazisha Karim Madonga “Mtu Kazi” pale KICC.
Bondia Mtanzania aliyejipatia umaarufu kupitia vitisho vya kabla ya Pambano, Karim Mandonga amepigwa kwa KO na bondia Daniel Wanyonyi kwenye pambano lililofanyika ukumbi wa KICC...
Bondia wa Tanzania, Karim Mandonga “Mtu Kazi”, kupambana dhidi ya Bondia wa Kenya, Denzel Onyango Okoth.
Bondia machachari wa Tanzania, Karim MANDONGA 'Mtu Kazi', anatarajiwa kupanda ulingoni Januari 14,2023 kwenye ukumbi maarufu mjini Nairobi,Kenya wa Tsavo Ballroom KICC, kupambana dhidi ya...