
BAADHI YA WATU WAPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI ILIYOHUSISHA GARI LA NAEKANA
Habari za kuhuzinisha baada ya baadhi ya watu kupoteza maisha katika ajali iliyotokea eneo la Malili katika barabara kuu ya Nairobi Mombasa.
Gari hilo la abiria la Naekana lilikuwa limetoka Taveta kuelekea Nairobi lilipokumbana na ajali hiyo masaa ya alfajiri asubuhi na kusababisha vifo. Manusura walikimbishwa hosipitali kwa matibabu zaidi
PICHA

