Aliyependekeza Jina La Tanzania Aaga Dunia

Share this story

Mohamed Iqbal Dar, aliyependekeza jina la Tanzania katika shindano la kutafuta jina la taifa mwaka 1964, ameaga dunia akiwa usingizini jijini Birmingham, Uingereza, alikokuwa akiishi.

Iqbal alikuwa mmoja wa wanafunzi 80 waliopendekeza majina, na pendekezo lake likachaguliwa kuwa jina rasmi la taifa baada ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Wakati huo alikuwa na umri wa miaka 18 na alipokea zawadi ya shilingi 200 za wakati huo kama mshindi wa shindano hilo.

Tanzania imempoteza mtu aliyekuwa sehemu ya historia yake muhimu


Share this story

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Previous post ICT Ministry Announces Plan to Upgrade National Broadcaster KBC
Next post Kesi Dhidi Ya Platini Na Blatter Kuanza Yaendelea