TANZANI: ATCL, TTCL zapata hasara ya mabilioni.

Share this story

Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limepata hasara ya shilingi bilioni 91.8 za Tanzania, ikiwa ni ongezeko la asilimia 62 kutoka shilingi bilioni 56.6 mwaka uliopita ambapo hasara hiyo imetokana na gharama kubwa za matengenezo ya ndege na hitilafu za injini ambapo ndege aina ya Airbus zilikaa muda mrefu zikisubiri injini.

Haya yamebainishwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere ambaye pia amesema kampuni hiyo ilitumia kiasi cha shilingi Bilioni 99.8 kama ruzuku kutoka serikalini na kama wasingepata ruzuku hii hasara halisi Ingekuwa Bilioni Tsh.191.6.


Share this story

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Previous post Mtawala wa kijeshi wa Niger ameapishwa kuwa rais wa nchi hiyo kwa kipindi cha mpito cha miaka mitano
Next post GOVERNMENT 𝗣𝗟𝗔𝗡𝗦 𝗧𝗢 𝗥𝗘𝗜𝗡𝗦𝗧𝗔𝗧𝗘 𝗧𝗛𝗘 𝟭𝟯𝟬𝗞𝗠 𝗩𝗢𝗜-𝗧𝗔𝗩𝗘𝗧𝗔 𝗥𝗔𝗜𝗟𝗪𝗔𝗬 𝗟𝗜𝗡𝗘.