Neymar Afunga Hat-Trick Kuokoa Klabu iliyomlea!

Share this story

Katika kiwango cha juu kabisa, Neymar amefunga hat-trick ya kuvutia na kuibeba Santos katika kipindi kigumu zaidi cha msimu. Ushindi huo muhimu umeweka klabu pointi mbili juu ya eneo la kushuka daraja, huku mechi moja tu ikiwa imesalia.

Mastaa wengi hukimbia presha kama hii—lakini Neymar, akiwa kwenye klabu ya utotoni mwake ameonyesha moyo, uongozi na ubora wa juu ndani ya uwanja.


Share this story

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Previous post Kalonzo Denies Nairobi Deal With Gachagua Ahead of 2027