Israel yatangaza kumuuwa waziri wa Ulinzi wa Iran
Waziri wa Ulinzi wa Israel Israel Katz ameiambia dunia kwamba afisa mkuu wa usalama wa Iran, Ali Larijani, ameuawa katika mashambulizi ya anga yaliyofanywa na jeshi la Israel usiku kucha, akisema IDF (Israel Defense Forces) ililenga na kumaliza maisha yake.
Hadi sasa, Iran haijatoa uthibitisho wa uhakika kuhusu kifo chake, na taarifa kutoka Tehran kuhusu hali yake bado hazijathibitishwa rasmi.
Wakati huo huo pia kumetolewa taarifa kwamba jeshi la Israel limewaua viongozi wengine wa ngazi ya juu wa usalama wa Iran katika mashambulizi hayo.