Hatimaye Mbosso Akutana Na Aslay Baada Ya Miaka 8

Share this story

Staa wa muziki Mbosso ameweka wazi kuwa ni takribani miaka 8 imepita hajawahi kuona ana kwa ana na msanii mwezake Aslay ambaye walikuwa wakiunda kundi moja la Yamoto bend tangu waachane mwaka 2017.

Ameandika hivi.. ” Imagine Mara ya Mwisho Tumekutana ni Mwaka 2017 na Tumekuwa Tukiwasiliana bila Kuonana ..

Baada ya Miaka Takribani 8 Jana ndo Tumekutana tena na Kwa Bahati Mbaya tu Kila Mtu akiwa Kwenye Mihangaiko Yake yakwenda kutafuta rizki …


Share this story

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Previous post Benni McCarthy alaumu vifaa duni kama sababu ya kujiondoa CECAFA