IEBC yaanza zoezi la kuidhinisha wagombea ubunge Taveta mapema leo
Wawaniaji wawili ubunge eneo la Taveta mapema leo waliwakilisha vyeti vyao kwa ofisi za iebc. Leo ilikuwa zamu ya Wakili John Bwire na mshindani wake...
Mashua ya Injini yafikia kikundi cha Imbaria, Ziwa Chala
Mheshimiwa Fundi Saleri ambaye pia ni mwakilishi wa kauti ndogo ya Bomeni, TaitaTaveta Leo amekutana na viongozi wa kikundi cha usimamizi wa ufuo cha Imbaria...
Kalonzo Apeleka Kampeni Za Wiper Eneo La Taveta, Amshika Mkono Wakili Bwire
Mh. Kalonzo Musyoka na kikosi cha Wiper party, hapo jana kilipeleka kampeni za wiper mjini Taveta. Chama cha Wiper kinawania kushinda viti vya siasa eneo...
Samboja picks Priscilla Mwangeka as his running mate
TaitaTaveta governor, Granton Samboja has pick Gender Adviser Priscilla Mwangeka as running mate to deputize him in gubernatorial bid. Mwangeka has been an astute administrator...
Beatrice Kodi Mtawa inaugurated as Mahoo Chief
Today at Mahoo chiefs office, Beatrice Kodi Mtawa was inaugurated as chief or the area. In presence was Taveta constituency Hon.Dr.Naomi shaban
Shule Za Pwani Zilizofanya Vizuri Kwa Mtihani Wa KCSE Mwaka Wa 2021
Girls dominated the top positions in the Coast region in the 2021 Kenya Certificate of Secondary Education (KCSE) examination results released yesterday by CAS George...