Mshukiwa Wa Ulanguzi Wa Dawa Za Kulevya Yusuf Ahmed Swaleh Almaarufu, Candy Rain, Amepatikana Amefariki Siku Chache Baada Ya Kutekwa Nyara
Mshukiwa wa dawa za kulevya Yusuf Ahmed Swaleh almaarufu Candy Rain alipatikana Jumapili akiwa amefariki katika eneo la Vipingo, Kaunti ya Kilifi. Polisi walisema alipatikana...
Wagonjwa Wateseka Mombasa Huku Mgomo Wa Madaktari Ukiingia Siku Ya Pili
Madaktari katika kaunti ya Mombasa waliungana na madaktari wengine kote nchini katika mgomo baada ya serikali kukosa kutimiza matakwa yao. Akizungumza katika mkutano na waandishi...
????? ???????, ???? ?????????, ????????? ?? ?????? ??? ?????? CHA BANDARI
David Wanyama, mwenye umri wa miaka 16, amepandishwa cheo kutoka Bandari Youth FC., na kujiunga na kikosi cha kwanza cha timu ya Bandari.
Mwanahabari wa Mombasa, Fatma Rajab, Afariki Dunia
Mwanahabari wa Mombasa Fatma Rajab, mwenye umri wa miaka 27 amefariki dunia baada ya kuugua. Mwanahabari huyo alikuwa amepelekwa katika chumba cha wagonjwa mahututi cha...
MAAFISA WA KIJASUSI WAWAKATAI VIJANA WA KUNDI LA UHALIFU MOMBASA.
Kufuatia operesheni inayoongozwa na maafisa wa kijasusi katika Kituo Kikuu cha Polisi cha Mombasa, wamefanikiwa kuwakamata watu watano wanaoshukiwa kuwa wanachama wa kundi la uhalifu...
Daraja La Mbogolo, Barabara Kuu Ya Mombasa Malindi Lasombwa Na Mafuriko.
Barabara kuu ya Mombasa Malindi kwa sasa haipitiki baada ya sehemu ya daraja la Mbogolo kusombwa na mafuriko Jumamosi asubuhi. Barabara hiyo ilikatika kabisa baada...