Joho Akabidhi Mamlaka Kwa Gavana Abdulswamad.
Aliyekuwa gavana wa Mombasa Hassan Joho siku ya leo alipeana mamlaka rasmi kwa mrithi wake Abdulswamad Nassir. Joho alihudumu kwa mihula miwili tangu kuchukua uongozi...
Naomi Asema Bye! Bye! kwa siasa za Taveta, Amuunga mkono Mh.Bwire
Aliyekuwa mbunge wa Taveta mh. Naomi Shabani amesema kwanza amejiondoa rasmi kwa siasa za Taveta na hatasimama tena kuwania ubunge wa Taveta mwaka wa 2027....
????-??????? ?????? ?????????? ????? ?????? ?? ??????? ??????? ???????? ??????, ???????????? ??? competitor ?????? ???? ?????
????-??????? ?????? ?????????? ????? ?????? ?? ??????? ??????? ???????? ??????, ???????????? ??? ????? ?????? ???? ????? She congratulated her competitor Bwire Okano of Wiper party....
Mbunge wa Taveta, Daktari Naomi Shabani akutana na wakazi wa Nairobi kuwarai kumpa kura mwezi wa Agosti
Mbunge wa Taveta, Dr Naomi Shaban, alikutana na wapiga kura wa Taveta wanaoishi Nairobi siku ya Jumapili, tarehe 30, katika harakati zake za kuwarai wampe...
Mgombea ugavana Kilifi kwa tikiti ya Ford Kenya, Michael Tinga, ajiondoa kwenye kinyang’anyiro akimuunga mkono Walili Geroge Kithi
Mgombea wa kiti cha ugavana Kaunti ya Kilifi George Kithi alipata msukumo mkubwa baada ya Micheal Tinga wa Ford Kenya kujiondoa kwenye kinyang'anyiro na kumuunga...
Charity Kaluki Ngilu ajiondoa kwa kinyang’anyiro cha ugavana katika kaunti ya Kitui
Gavana wa Kitui Charity Ngilu hatatetea kiti chake katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Agosti 9. Uamuzi wa Ngilu kujiondoa katika kinyang'anyiro cha ugavana uliwekwa wazi...