“FAMILIA INA WATOTO KIBAO NIANDIKE MALI ZANGU JINA LA MAMA, SIFANYI UJINGA WA HAKIMI” – BABALEVO
Mwanamitandao na msanii BabaLevo ameibuka na kuwashangaa wanaume wanaomuiga mchezaji Hakimi ambaye anatrend kwa kumuandikisha mama yake mzazi mali zake zote na si mkewe ambapo...
?????? ?? ??????? ?????????. ?? ???!.. ???!.. ????????? ?????????, ??????????? ?????????. ?????? ?? ?? ?? ???????.
Kufikia sasa timu ya chelsea imepokea mapigo mengi zaidi kwa ligi kuu kushinda michezo waliyo shinda. Wameweza kupoteza michezo 3 ikifuatana kufikia sasa. 1-0 dhidi...
Hakuna Wimbo Umeniingizia Hela Nyingi Kushinda Wimbo Wa “Nakupenda” Jay Melody
Star wa muziki wa kizazi kipya Tanzania Jay Melody amesema mpaka sasa wimbo wake wa "Nakupenda" umemuingizia zaidi ya Shilingi mlioni (200) za Kitanzania na...
“NAENDA KAMA HAKIMI” MARIOO
Kutoka kwenye ukurasa wa instagram wa Marioo amepost picha akiwa na Paula na kuandika "Naenda Kama Hakimi" Unadhani ana maana gani?
Waziri Machogu Avunja Bodi Ya Shule Ya Mukumu Girls Na Kumwamisha Mwalimu Mkuu
Waziri wa Elimu Ezekiel Machogu amemhamisha Mwalimu Mkuu wa Mukumu Girl, Frida Ndolo na kumteua Jane Mmbone kuwa mkuu wa shule.Waziri huyo pia amevunja bodi...
SHABIKI ALIYEMLILIA DON JAZZY HALI NGUMU ANAUHITAJI WA MALAZI APEWA KSH. 250K
Mfanyabiashara, Mtayarishaji wa muziki ambaye ni CEO wa Lebo ya Mavins kutoka Nchini Nigeria @donjazzy amemsaidia Shabiki aliemuomba Msaada kupitia ukurasa wake wa Twitter. Shabiki...