Rais William Ruto Amwongeza Inspekta Jenerali Wa polisi Mamlaka
Rais wa Jamhuri ya Kenya, William Ruto, alasiri ya Jumanne, Septemba 13, alianza kuchukua hatua kwa kupunguza mamlaka kutoka kwa Ofisi ya Rais na kumpa...
Ruto kurudisha shughuli za Bandari Mombasa
Rais William Ruto leo, Jumanne, Septemba 13 alithibitisha ahadi yake ya kurejesha shughuli za bidhaa katika bandari ya Mombasa. Akizungumza wakati wa kuapishwa kwake, Mkuu...
Gavana anayeondoka wa Mombasa Hassan Joho na Gavana Teule wa Abdullswamad Shariff Nassir wapeana haki miliki ya Ardhi kwa wakazi wa Likoni Block 203
Gavana anayeondoka wa Mombasa Hassan Joho na Gavana Teule wa Abdullswamad Shariff Nassir wapeana haki miliki ya Ardhi kwa wakazi wa Likoni Block 203 kupitia...
Wajakoya Aiomba Mahakama kumjumuisha kwa kesi ya uchaguzi
Mgombea wa kiti cha uraisi kupitia tiketi ya chama cha Roots Party, Mh Wajakoya, aiomba mahakama kumjumuisha kwa keshi ya uchaguzi inayoendelea katika mahakama ya...
Kata Ya Mata: Safari ya mwisho ya aliyekuwa mjumbe wa bunge la kaunti Marehemu Nobert Chanzu Khamadi
Hali ya huzuni na majonzi ilifunika eneo la Cess, kata ya Mata, kaunti ya TaitaTaveta katika safari ya mwisho ya kumuaga aliyekuwa mjumbe wa bunge...
Naomi Asema Bye! Bye! kwa siasa za Taveta, Amuunga mkono Mh.Bwire
Aliyekuwa mbunge wa Taveta mh. Naomi Shabani amesema kwanza amejiondoa rasmi kwa siasa za Taveta na hatasimama tena kuwania ubunge wa Taveta mwaka wa 2027....