“NAENDA KAMA HAKIMI” MARIOO
Kutoka kwenye ukurasa wa instagram wa Marioo amepost picha akiwa na Paula na kuandika "Naenda Kama Hakimi" Unadhani ana maana gani?
Waziri Machogu Avunja Bodi Ya Shule Ya Mukumu Girls Na Kumwamisha Mwalimu Mkuu
Waziri wa Elimu Ezekiel Machogu amemhamisha Mwalimu Mkuu wa Mukumu Girl, Frida Ndolo na kumteua Jane Mmbone kuwa mkuu wa shule.Waziri huyo pia amevunja bodi...
SHABIKI ALIYEMLILIA DON JAZZY HALI NGUMU ANAUHITAJI WA MALAZI APEWA KSH. 250K
Mfanyabiashara, Mtayarishaji wa muziki ambaye ni CEO wa Lebo ya Mavins kutoka Nchini Nigeria @donjazzy amemsaidia Shabiki aliemuomba Msaada kupitia ukurasa wake wa Twitter. Shabiki...
Vijana wa Mombasa kufaidi katika mpango wa kuhakikisha usalama wa ufuo na mtiririko wa trafiki
Zaidi ya vijana 2,000 kutoka kaunti ya Mombasa watapata watafaidi kupitia ajira na mafunzo ya ujuzi kupitia mpango wa ‘Mombasa Yetu Programme’ uliozinduliwa Alhamisi na...
Zaidi ya Watu Milioni 4 walijitokeza kuzunguka mitaa ya Buenos Aires kukaribisha timu ya Argentina
Wachezaji wa Argentina walilazimika kuondoka kwenye gwaride lao la basi na kuruka Buenos Aires kwa helikopta kwa sababu ya umati mkubwa wa watu. Inakadiriwa kuwa...
CROATIA YAILAZA MOROCCO MABAO 2-1 NA KUINGIA TIMU 3 BORA ZA KOMBE LA DUNIA MWAKA 2022
#Croatia imefanikiwa kushika nafasi ya tatu kwa kushinda dhidi ya #Morocco magoli 2-1 Mchezo pekee uliosalia ni wa Fainali, wa timu ya #Argentina dhidi ya...