MCHEZAJI BORA WA LIGI KUU YA ENGLAND MWEZI WA DESEMBA
Mshambuliaji wa Bournemouth, Dominic Solanke amechaguliwa kuwa Mchezaji bora wa mwezi Desemba wa Ligi Kuu England. Solanke ameshinda tuzo hiyo baada ya kuifungia klabu yake hiyo magoli 6 ndani ya mwezi huo. Solanke (26) alikulia kwenye shule ya vipaji ya Chelsea kati ya mwaka 2014-2017, kabla ya kujiunga na Liverpool na baadae akatimkia Bournemouth mnamo…
Gwiji wa soka wa Brazil Mario Zagallo afariki akiwa na umri wa miaka 92
BRAZIL: MARIO Zagallo, bingwa mara nne wa Kombe la Dunia akiwa mchezaji na kocha wa Brazil, amefariki akiwa na umri wa miaka 92. Mario Zagallo,...
Mchezaji wa Argentina Di Maria kujiuzulu kucheza kimataifa baada ya Copa America
Winga wa Argentina Ángel Di María amethibitisha Alhamisi kwamba maisha yake ya kimataifa yatafikia kikomo baada ya michuano ya Copa América 2024 nchini Marekani. Mshambulizi...
Paolo Maldini – Tulimtaka Messi, Tukajaribu Tupate Saini Yake Lakini Tukashindwa
Mkurugenzi wa zamani wa AC, Milan Paolo Maldini, amekiri kuwa waliwahi kuwa na nia ya kumsajili Lionel Messi msimu uliopita wa joto lakini baada ya...
Paolo Maldini – Tulimtaka Messi, Tukajaribu Tupate Saini Yake Lakini Tukashindwa
Mkurugenzi wa zamani wa AC, Milan Paolo Maldini, amekiri kuwa waliwahi kuwa na nia ya kumsajili Lionel Messi msimu uliopita wa joto lakini baada ya...
Argentina walipoteza mchezo wao jana dhidi ya Uruguay kwa magoli 2-0.
Argentina walipoteza mchezo wao jana dhidi ya Uruguay kwa magoli 2-0. Hii ndo mechi waliyopoteza tangu walipofungwa na Saudi Arabia kwenye mechi ya kwanza kwenye...