Arsenal Kumkosa Havertz Msimu Mzima
Arsenal itamkosa mshambuliaji wake Kai Havertz katika mechi zote zilizobakia msimu huu baada ya kupata maumivu ya misuli katika kambi ya timu hiyo inayoendelea Dubai....
Vilabu vya Norway vyapiga kura kufuta VAR
Taarifa kutoka nchini Norway inaeleza kuwa Vilabu vimepiga kura ya kutaka kuiondoa teknolojia ya VAR kutumika katika ligi yao kwa sababu Ina unyonyaji mwingi ndani...
Mwanasoka nguli wa Man Utd na Scotland Dennis Law afariki akiwa na umri wa miaka 84
Mshambuliaji Nguli wa zamani wa zamani wa Manchester United timu ya Taifa ya Scotland, Dennis Law amefariki Dunia leo Januari 17, 2025 akiwa na umri...
UGOMVI WA MESSI, NEYMAR NA MBAPPE ULIKUWA WIVU TU
MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Brazil Neymar ameweka wazi kwa nini ushirikiano wa nyota watatu – yeye, Kylian Mbappe, na Lionel Messi haukufaulu kama...
Cristiano Ronaldo Anunua Private Jet Mpya Yenye Thamani ya Dola Milion 75
Nyota wa soka, Cristiano Ronaldo, amenunua ndege mpya ya kibinafsi yenye thamani ya $75 milioni sawa na Tsh Bilioni 187.6, ikimuwezesha kusafiri kwa staili ya...
Cristiano Kuweka Rekodi Ya Mkataba Mpya Uraibuni
Cristiano Ronaldo yuko mbioni kusaini mkataba mnono mpya ambao utamfanya kuwa mwanasoka anayelipwa pesa nyingi zaidi duniani. Al-Nassri inayoshiriki Saudi Pro League imetajwa kumpatia Cr7...