Lionel Messi Atangaza Kustaafu Soka la Kimataifa
Nahodha wa Argentina, Lionel Messi, ametangaza kustaafu kucheza soka la kimataifa akiwa na umri wa miaka 39, akihitimisha safari ya zaidi ya miaka 20 akiwa...
Bruno Fernandes ametwaa tuzo mbili za PFA!
Kiungo na nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes, ameshinda tuzo ya PFA Players’ Player of the Year, baada ya kutambuliwa kwa kiwango chake bora msimu...
Omar Artan Aweka Historia, Aitwa na UEFA kwa Mafunzo ya Waamuzi
Mwamuzi wa kimataifa kutoka Somalia, Omar Artan Abdulkadir, amepewa nafasi ya kipekee baada ya UEFA kumwalika kushiriki kozi maalum ya mafunzo kwa waamuzi wa kiume...
Guinness World Records Yamtunuku Erling Haaland Vyeti kwa Rekodi Nne za Kipekee
Guinness World Records imemtunuku mshambuliaji wa Manchester City, Erling Haaland, vyeti vinne vya kutambua rekodi mbalimbali alizoweka katika soka, wakati msimu mpya wa Ligi Kuu...
ARGENTINA YATANGAZA JULAI 15 KUWA “SIKU YA TIMU YA TAIFA”
Shirikisho la Soka la Argentina limetangaza Julai 15 kuwa “Siku ya Timu za Taifa”, kwa heshima ya ushindi wao wa kihistoria dhidi ya England katika...
Mohammed Bajaber Aweza Kukosa Nafasi Simba SC Baada ya Msimu wa Changamoto
Mshambuliaji wa Harambee Stars, Mohammed Bajaber, anaripotiwa kuwa katika hatari ya kuachwa nje ya kikosi cha Simba SC huku klabu hiyo ikiendelea kufanya maboresho ya...