Watumiaji wa muguka, Miraa ‘kuwatelekeza wake’ huko Pwani
Viongozi wa kidini huko Lamu wamekemea watumiaji wa muguka na miraa kwa kuwatelekeza na kuwadhulumu wake zao.Viongozi hao wamekemea ‘jaba bases’ kwa kuvunjika kwa ndoa,...
Wakenya Waandamana Kupinga Mswada wa Fedha wa 2024
Maelfu ya wakenya mnamo siku ya Alhamisi, Juni 20 waliendelea kukusanyika kufanya maadamano ya amani dhidi ya kupinga mswada wa fedha wa mwaka wa 2024....
Wakazi wa Mombasa waandamana kupinga Mswada wa Fedha 2024
Machafuko na mapigano yalitanda katika mitaa ya Mombasa siku ya Jumatano huku wakazi wakiandamana barabarani kupinga Mswada wa Fedha wa 2024.Waandamanaji hao walikabiliana na maafisa...
Serikali Yatii Wito Wa Wananchi
Hatimaye serikali imesikiliza kilio cha wakenya wengi kuhusu mswada wa ushuru baada ya Kamati ya Bunge la Kitaifa kuhusu Fedha kutangaza msururu wa mabadiliko ya...
Gavana wa Mombasa Nassir Aunga Mkono Marekebisho ya Mswada wa Fedha wa 2024
Gavana Abdulswamad Nassir ameelezea kuunga mkono marekebisho yaliyopendekezwa na Kamati ya Idara ya Fedha na Mipango ya Kitaifa kwa vifungu vyenye utata vya Mswada wa...
Mombasa kuendelea kutoza ada ya Sh700 ya kuegesha lori za biashara
Mahakama kuu ya Mombasa imekataa kutoa maagizo ya muda ya kusitisha uamuzi wa serikali ya kaunti ya Mombasa kuongeza ada ya kuegesha magari makubwa na...