B Classic Arejea Na Melody Ya Tipsy – “I Like It”

Share this story

Msanii B Classic amerudi tena na ngoma mpya ya “I Like It” wakati huu akiwa tipsy na melody za mapenzi.

Hii ni baada ya kupotea kwa game kwa mda hali iliyowaweka wafuasi wake wasiwasi wengine wakidai B Classic kapenda “kubwa kubwa” hawezani na mziki.

Video ya “I Like It” sasa iko kwa youtube channel yake.


Share this story

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Previous post NGOMA YA “GOD DESIGN” YA JUX YATIKISA TRENDING NO: 1 NIGERIA