UGANDA: ZAIDI YA WABUNGE 100 NA MAWAZIRI KUFUNDISHWA KISWAHILI KILA JUMATATU

Share this story

Viongozi wote nchini Uganda lazima wawe na uwezo wa kuwasiliana kwa lugha ya Kiswahili, wabunge wamedai. Wabunge katika kamati ya Mashauri ya Kigeni inayoongozwa na Mh. Kiryapawo (Budaka) walisema jana mpango wa kueneza kiswahili haufai kuishia katika shule za msingi bali uwe sera ya serikali ya kujumuisha viongozi katika ngazi zote.

Lengo ni kufanya Kiswahili iwe Lugha ya Mikutano ya ndani na ya Jumuiya

Mawaziri watafundishwa Lugha hiyo kwa muda wa Saa 1 kabla ya Kikao cha Baraza


Share this story

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Previous post ??????? ???????? ????????? ?? ?????? ????? ?? ?????
Next post COTU Boss Francis Atwoli Supports Ruto’s Bid To Increase NSSf Deduction