Truphena Muthoni amevunja rekodi ya dunia kwa kukumbatia mti zaidi ya masaa 72

Share this story

Mwanaharakati wa mazingira Truphena Muthoni amevunja rekodi ya dunia kwa kukumbatia mti zaidi ya masaa 72(siku tatu) mfululizo bila kula wala kunywa

Kwa rekodi hiyo mpya mwanaharakati huyo amejishindia pesa zaidi ya milioni 1 ya Kenyapamoja na zawadi mbalimbali zenye thamani ya mamilioni

Pia anatarajiwa kutambuliwa rasmi na kuingizwa kwenye kitabu cha kumbukumbu za maajabu duniani (World Guinness Records).


Share this story

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Previous post Team Kenya shines in athletics at EAC Inter-Parliamentary games in Kampala
Next post Cabinet Approves Ksh5 Trillion National Infrastructure Fund