Matiang’i Atangaza Likizo Kakamega, Mombasa na Maeneo Mengine Yatakayo Kuwa na Uchaguzi
Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang'i ametangaza siku ya Jumatatu, Agosti 29 kuwa sikukuu ya kitaifa katika maeneo ambayo uchaguzi unatazamiwa kufanywa. Hii ni...
?.???? ??????? ???? ??? ???????? ????? ????? ?????? ?? ???????
Msanii wa Bongo Fleva H.BABA amefunguka na kushauri ya kwamba ni vyema kila mtu nyumbani kwake aweke sanamu ya mwanamuziki Diamond Platnumz kwa makubwa anayofanya...
????-??????? ?????? ?????????? ????? ?????? ?? ??????? ??????? ???????? ??????, ???????????? ??? competitor ?????? ???? ?????
????-??????? ?????? ?????????? ????? ?????? ?? ??????? ??????? ???????? ??????, ???????????? ??? ????? ?????? ???? ????? She congratulated her competitor Bwire Okano of Wiper party....
Mbunge wa Taveta, Daktari Naomi Shabani akutana na wakazi wa Nairobi kuwarai kumpa kura mwezi wa Agosti
Mbunge wa Taveta, Dr Naomi Shaban, alikutana na wapiga kura wa Taveta wanaoishi Nairobi siku ya Jumapili, tarehe 30, katika harakati zake za kuwarai wampe...
Mgombea ugavana Kilifi kwa tikiti ya Ford Kenya, Michael Tinga, ajiondoa kwenye kinyang’anyiro akimuunga mkono Walili Geroge Kithi
Mgombea wa kiti cha ugavana Kaunti ya Kilifi George Kithi alipata msukumo mkubwa baada ya Micheal Tinga wa Ford Kenya kujiondoa kwenye kinyang'anyiro na kumuunga...
Rayvanny ajiondoa kwenye lebo ya WCB, Diamond amshangilia.
Mwimbaji kutoka Tanzania Rayvanny leo ameachana rasmi na lebo ya Diamond Platinumz ya Wasafi baada ya miaka sita. Katika video ya aliyoiweka kwenye mitandao ya...