Wales Yafuzu kucheza kombe la dunia kwa mara ya pili katika historia yao baada ya kuifunga Ukraine.
Team ya Wales Yafuzu kucheza kombe la dunia kwa mara ya pili katika historia yao baada ya kuilaza Ukrane bao 1-0. Bao la kujifunga la...
Msanii Mlole Classic Amfanyia Mh.Naomi Shabani Wimbo Wa Kampeni
https://youtu.be/rTnhs2ERXu0
Mwakilishi wa wanawake wa kilifi, Getrude Mbeyu akiri kushindwa katika miradi ya maendeleo
Mwakiliishi wa wanawake kaunti ya kilifi amekiri kushindwa na miradi ya maendeleo baada ya kukabiliana na wapigakura kura wenye hasira. Mbunge huyo alikabiliana na wapiga...
IEBC yaanza zoezi la kuidhinisha wagombea ubunge Taveta mapema leo
Wawaniaji wawili ubunge eneo la Taveta mapema leo waliwakilisha vyeti vyao kwa ofisi za iebc. Leo ilikuwa zamu ya Wakili John Bwire na mshindani wake...
?????? ????? ????? ???? ???? ?????????? ?????? ???? ?? ??????
https://youtu.be/2Bng2m-d9kY
Marekani italinda Taiwain dhidi ya uvamizi wa China : Joe Biden
Rais Joe Biden wa Marekani amesema taifa lake litalinda Tawaian kijeshi kama China itavamia kisiwa hicho chenye kujitawala chenyewe. Joe Biden ameonya China kuwa inachezea...