Wakenya 1,000 Wanasafirishwa Kufanya Kazi Nje ya Nchi Kila Wiki – Rais Ruto
Rais William Ruto mnamo Jumapili, Julai 28, alifichua kuwa nchi ilikuwa ikisafirisha raia 1,000 kila wiki kufanya kazi katika mataifa ya kigeni. Rais alifichua hayo...
Bunge lilipata hasara ya milioni 94 wakati wa maandamano
Spika wa Bunge la Kenya, Moses Wetang’ula amesema ghasia zilizoibuka kufuatia maandamano ya Gen Z ziliharibu vitu vyenye thamani ya karibu Shilingi milioni 94. Watang’ula...
Marekani – Biden Anamuunga Mkono Makamu Wake Kamala Harris Kuwa Mgombea Uraisi
Rais wa Marekani Joe Biden amesema atasimama na Makamu wake wa Rais Kamala Harris kuchaguliwa kuwa mgombea mteule wa Chama cha Demokrati katika uchaguzi wa...
MAREKANI – Kamala Tunashinda Asubuhi Sana -Donald Trump
Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amesema pendekezo la Kamala Harris kugombea kiti cha urais cha taifa hilo ni afueni kwake kwa kuwa Rais...
Mpango Wa Serikali Wa Kusambazaji Umeme Kwale
Serikali ya Kwale, kwa ushirikiano na serikali ya kitaifa, inatazamia kuzindua mpango muhimu wa kusambaza umeme vijijini. Hii ni kulinganga na naibu gavana wa kaunti...
Gavana Mwadime awafuta kazi washauri watatu huku kukiwa na uchunguzi wa ufisadi
Gavana wa Taita Taveta Andrew Mwadime amewafuta kazi washauri watatu kutokana na shinikizo kutoka kwa bunge la kaunti na vijana wa Gen Z.Wabunge wa Bunge...