Gavana wa Mombasa Nassir Aunga Mkono Marekebisho ya Mswada wa Fedha wa 2024
Gavana Abdulswamad Nassir ameelezea kuunga mkono marekebisho yaliyopendekezwa na Kamati ya Idara ya Fedha na Mipango ya Kitaifa kwa vifungu vyenye utata vya Mswada wa...
Mombasa kuendelea kutoza ada ya Sh700 ya kuegesha lori za biashara
Mahakama kuu ya Mombasa imekataa kutoa maagizo ya muda ya kusitisha uamuzi wa serikali ya kaunti ya Mombasa kuongeza ada ya kuegesha magari makubwa na...
Wabunge wa Pwani wakataa mwaliko wa kukutana na Linturi kuhusu marufuku ya muguka
Wabunge kutoka eneo la Pwani wamekataa mwaliko wa mkutano wa mashauriano na Waziri wa Kilimo Mithika Linturi kujadili marufuku ya muguka.Katika taarifa yake Mei 31,...
KOTI : Mackenzie, wengine 29 walishtakiwa ipasavyo katika kesi ya Shakahola
Mahakama Kuu imeamua kwamba mhubiri mwenye utata Paul Mackenzie na wengine 29 walishtakiwa ipasavyo kwa makosa 191 ya mauaji katika mauaji ya Shakahola.Uamuzi huo ulifuatia...
Kimbunga Hidaya Hakipo Tena Chaishia Nguvu Kisiwa Cha Mafia Nchini Tanzania.
Idara ya Anga nchini Kenya imetangaza kumalizika kwa Kimbunga Hidaya kilitangaza kumalizika baada ya kuanguka kwenye Kisiwa cha Mafia nchini Tanzania. Mkurugenzi wa Huduma za...
Wabunge Waidhinisha Hoja Ya Kumbandua Waziri Wa Kilimo Mithika Linturi
Mnamo Alhamisi, Mei 2, wabunge 149 walipiga kura kuendelea na mchakato wa kumtimua CS Linturi huku 36 kati yao wakiupinga. Ni 3 tu ambao hawakushiriki....