Mpango Wa Serikali Wa Kusambazaji Umeme Kwale
Serikali ya Kwale, kwa ushirikiano na serikali ya kitaifa, inatazamia kuzindua mpango muhimu wa kusambaza umeme vijijini. Hii ni kulinganga na naibu gavana wa kaunti...
Gavana Mwadime awafuta kazi washauri watatu huku kukiwa na uchunguzi wa ufisadi
Gavana wa Taita Taveta Andrew Mwadime amewafuta kazi washauri watatu kutokana na shinikizo kutoka kwa bunge la kaunti na vijana wa Gen Z.Wabunge wa Bunge...
Wanajeshi Wapiga Doria Jijini Nairobi
Wanajeshi wameungana na polisi kushika doria katika mitaa ya Nairobi huku waandamanaji wa kupinga Mswada wa Fedha wakirandaranda mitaani kuendelea kukaidi Mswada huo ambao tayari...
“Naombeni Msamaha Nilikosea Kwa Kupiga YES” Mbunge Wa Taveta Mh. Bwire
Mbunge wa Taveta Mh. John Bwire amewaomba wakaazi wa Taveta msabaha kufuatia msimamo wake bungeni baada ya kuunga mkono mswada wa fedha wa mwaka wa...
Wakaazi wa Mombasa Waandamana katika Ofisi ya Mohammed Ali Kupinga Mswada wa Fedha
Wakazi wa Nyali Jumatatu waliandamana nje ya afisi ya Mbunge wa Nyali Mohammed Ali kaunti ya Mombasa.Wakazi hao walikerwa na kutokuwepo kwa Ali huku wabunge...
Kaunti ya Kilifi yazindua kampeni ya afya mashinani
Serikali ya Kaunti ya Kilifi imezindua kampeni kali ya kufikia afya ya msingi inayolenga kupeleka huduma za matibabu mashinani.Wataalamu wa fani mbalimbali za matibabu na...