Jopokazi Lapendekeza Mabadiliko Kwa Taasisi Za Kidini Za Kenya
Serikali imedhamiria kutekeleza kanuni mpya kali kwa taasisi za kidini kufuatia mapendekezo ya jopokazi liloundwa baada ya mkasa wa Shakahola mwaka jana.Jopokazi hilo, likiongozwa na...
Raila ataka marekebisho ya katiba ili kushughulikia mzozo wa kitaifa uliopo
Kiongozi wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga ametaka katiba ipitiwe upya ili kukuza nchi inayoendelea baada ya mwezi mmoja wa maandamano mabaya yaliyoongozwa...
Wakenya 1,000 Wanasafirishwa Kufanya Kazi Nje ya Nchi Kila Wiki – Rais Ruto
Rais William Ruto mnamo Jumapili, Julai 28, alifichua kuwa nchi ilikuwa ikisafirisha raia 1,000 kila wiki kufanya kazi katika mataifa ya kigeni. Rais alifichua hayo...
Bunge lilipata hasara ya milioni 94 wakati wa maandamano
Spika wa Bunge la Kenya, Moses Wetang’ula amesema ghasia zilizoibuka kufuatia maandamano ya Gen Z ziliharibu vitu vyenye thamani ya karibu Shilingi milioni 94. Watang’ula...
Marekani – Biden Anamuunga Mkono Makamu Wake Kamala Harris Kuwa Mgombea Uraisi
Rais wa Marekani Joe Biden amesema atasimama na Makamu wake wa Rais Kamala Harris kuchaguliwa kuwa mgombea mteule wa Chama cha Demokrati katika uchaguzi wa...
MAREKANI – Kamala Tunashinda Asubuhi Sana -Donald Trump
Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amesema pendekezo la Kamala Harris kugombea kiti cha urais cha taifa hilo ni afueni kwake kwa kuwa Rais...