PICHA : Gavana Nassir, Pamoja na Gavana Mwadime, Wakutana na Wajumbe Kutoka Taita/Taveta Wanaoishi Mombasa
Gavana wa Mombasa, Abdulswamad Shariff Nassir, Pamoja na Gavana wa Taita Taveta, H. E Andrew Mwadime, Wakutana na Wajumbe Kutoka Jamii ya Taita/Taveta Wanaoishi Mombasa
Janet Mwawasi Oben Achaguliwa Kuwa Balozi Wa Kigali, Rwanda
Raisi William Ruto amchagua, Janet Mwawasi Oben, kuwa balozi wa kijali Rwanda katika mabadiliko ya serikali yalifanyika. Wateule hao watahojiwa Bungeni, na baada ya kuidhinishwana,...
Mbunge Wa Nyali,Mohammed Ali, aongoza Maandamano Dhidi Ya Uamuzi Wa Mahakama Kuu Kuhusu Ushoga
Mbunge wa Nyali Mohammed Ali almaarufu Jicho Pevu aongoza maandamano aandamano jijini Nairobi na Mombasa kupinga uamuzi wa Mahakama ya Juu kuruhusu usajili wa vyama...
Mwanaisha Chidzuga Ateuliwa Naibu Msemaji Wa Serikali
Rais William Ruto alifanya mabadiliko makubwa katika serikali yake pamoja na kumteua aliyekuwa Seneta Mteule Isaac Mwaura kuwa Msemaji wa Serikali. Gabriel Muthuma na Mwanaisha...
Rais William Ruto amuongeza Waziri Mkuu Musalia Mudavadi majukumu zaidi katika mabadiliko ya baraza la mawaziri
Rais William Ruto amefanya mabadiliko ya Makatibu Wakuu wanane kwa wizara mbalimbali katika mabadiliko ya hivi punde ya baraza la mawaziri yaliyolenga kulainisha utendakazi huku...
Askofu Jackson Ole Sapit aikosoa serikali kwa kupanda kwa gharama ya maisha.
Askofu mkuu Jackson Ole Sapit ameitaka serikali kuweka mikakati upya ya utekelezaji wa ahadi walizozitoa katika kipindi cha kampeni huku akisema kuwa ni wakati sasa...