Israel yatangaza kumuuwa waziri wa Ulinzi wa Iran
Waziri wa Ulinzi wa Israel Israel Katz ameiambia dunia kwamba afisa mkuu wa usalama wa Iran, Ali Larijani, ameuawa katika mashambulizi ya anga yaliyofanywa na...
HAKUTAKUWA NA MAZUNGUMZO TENA, IRAN IJISALIMISHE YENYEWE
Rais wa Marekani Donald Trump amesema hakutakuwa na makubaliano yoyote kati ya nchi yake na Iran, isipokuwa taifa hilo lijisalimishe bila masharti, akisisitiza kuwa hatua...
Iran yathibitisha kifo cha kiongozi mkuu Ayatollah Ali Khamenei
Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ameripotiwa kufariki dunia, kwa mujibu wa madai ya maofisa kadhaa wa Israel. Inadaiwa mwili wake ulipatikana chini ya...
Saudi Arabia imelaani vikali mashambulizi ya Iran kulenga kambi za Marekani katika mataifa ya Qatar, Bahrain, Kuwait na UAE
Saudi Arabia imelaani vikali mashambulizi ya Iran kulenga kambi za Marekani katika mataifa ya Qatar, Bahrain, Kuwait na UAE Shirika la habari la Al Jazeera...
Dkt.Hussein Ali Mwinyi ashinda tena Urais Zanzibar kwa asimilia 74.8 ya kura zote halali
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imemtangaza Dkt. Hussein Ali Mwinyi kuwa mshindi wa nafasi ya Rais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 29...
Paul Biya ashinda urais Tena akiwa na umri wa miaka 92
Rais wa Cameroon mwenye umri wa miaka 92 ameshinda kura ya uraisi kwa muhula wa nane uliokumbwa na utata.i.Paul Biya, ambaye ni mkuu wa nchi...