SHABIKI ALIYEMLILIA DON JAZZY HALI NGUMU ANAUHITAJI WA MALAZI APEWA KSH. 250K
Mfanyabiashara, Mtayarishaji wa muziki ambaye ni CEO wa Lebo ya Mavins kutoka Nchini Nigeria @donjazzy amemsaidia Shabiki aliemuomba Msaada kupitia ukurasa wake wa Twitter. Shabiki...
Jaymelody kutoridhishwa na mapokezi ya video ya #Nakupenda
Melody Star wa muziki nchini Tanzania “Jaymelody” anayetamba kwa ngoma ya Nakupenda amezua gumzo mitandaoni baada ya kuonesha kutoridhishwa na mapokezi ya Video ya wimbo...
Lyrics Za Wimbo Wa Kwikwi Ulioimbwa Na Zuchu
Reke rekete rekete Rikiti rikiti rikiti Rukutu VERSE 1 Hedi Kudo umeduso ilivyolonga inakwangua makoko Haiombi Chudo ona nitakufa wasunami najaribu tandiko Aweee banaaa CHORUS...
Wasanii Wa Bongo Fleva, Killy Na Cheed Wajiondoa Rasmi Kwenye Lebo Ya Konde Gang
Lebo ya Konde Music Worldwide inayomilikiwa na mwimbaji na mtunzi wa nyimbo, Harmonize, leo tarehe October 10, 2022 imetangaza rasmi kuwa Killy na Cheed hawapo...
Ngoma Ya JUGNI ya Diljit Dosanjh Akimshirikisha Diamond Platnumz Yavunja Record.
Hatimae Diljit Dosanjh kutoka India amemshirikisha Diamond platnumz kutoka Tanzania kwa ngoma itwayo JUGNI. Ngoma hio imeweza kuvunja record kuwa na watazamaji takribani Million 8,000,000 kwa...
𝐇.𝐁𝐀𝐁𝐀 𝐀𝐒𝐇𝐀𝐔𝐑𝐈 𝐊𝐈𝐋𝐀 𝐌𝐓𝐔 𝐍𝐘𝐔𝐌𝐁𝐀𝐍𝐈 𝐊𝐖𝐀𝐊𝐄 𝐀𝐖𝐄𝐊𝐄 𝐒𝐀𝐍𝐀𝐌𝐔 𝐘𝐀 𝐃𝐈𝐀𝐌𝐎𝐍𝐃
Msanii wa Bongo Fleva H.BABA amefunguka na kushauri ya kwamba ni vyema kila mtu nyumbani kwake aweke sanamu ya mwanamuziki Diamond Platnumz kwa makubwa anayofanya...