Ndege ndogo yaanguka huko Malindi
Ndege nyepesi imeanguka na kuteketea katika eneo la Kwachocha huko Malindi. Tukio hilo lilitokea Ijumaa, Januari 10 alasiri.Ripoti zinaonyesha kuwa ndege hiyo ilianguka kando ya...
Wabunge wa Pwani wanadai haki kwa mzee aliyeuawa na afisa wa KWS
KUNDI la Wabunge wa Pwani (CPG) limeitaka Wizara ya Utalii na Wanyamapori kuharakisha uundaji wa korido ya malisho katika Kijiji cha Yakaliche, Jimbo la Garsen,...
Polisi Wawakamata Waandamanaji wa Mombasa Huku Maandamano ya Kupinga Utekaji nyara Yakiendelea
Polisi wameripotiwa kuwakamata waandamanaji kadhaa waliojiunga na maandamano ya kupinga utekaji nyara mjini Mombasa nchini Kenya. Huku maandamano yakianza katika maeneo kadhaa ya nchi baada...
Finali Ya Wakili Bwire Tournament Jumanne
Hatimaye tournament ya wakili Bwire Msimu wa 2024 itafikia mwisho pale msindi atapatikana kati ya Chala FC na Majengo FC. Mechi zitaanza kwa kutafuta mshindi...
President William Ruto attends the Kilifi International Investment Conference at Vipingo Ridge.
President William Ruto is expected to officially open the three-day Kilifi County Investment Conference. The event highlights Kilifi's vast investment potential in sectors such as...
Wundanyi : Eneo La Paranga Kufaidi Mradi Wa Umeme
Rais William Ruto hapo jana alizindua Mradi wa Usambazaji Umeme wa REREC Paranga huko Wundanyi, Kaunti ya Taita Taveta. Mpango huu ni sehemu ya juhudi...