𝐖𝐀𝐊𝐔𝐉𝐀𝐀 𝐀𝐎𝐍𝐆𝐎𝐙𝐀 𝐕𝐈𝐎𝐍𝐆𝐎𝐙𝐈 𝐊𝐖𝐀 𝐊𝐈𝐊𝐀𝐎 𝐍𝐀 𝐍𝐀𝐈𝐁𝐔 𝐑𝐀𝐈𝐒.
Viongozi wa kaunti ya Taita Taveta leo wamekutana na Naibu Rais jijini Nairobi kwa kikao maalum cha kujadili uboreshaji ushirikiano kati ya serikali kuu na...
Wapare Wapeana Ombi La Kutambuliwa Rasmi Kama Raia Wa Kenya
Naibu wa raisi Kithure Kindiki amepokea rasmi ombi la kutetea uraia na kutambuliwa kama kabila la Wapare katika Kaunti ya Taita Taveta kama raia wa...
Ndege ndogo yaanguka huko Malindi
Ndege nyepesi imeanguka na kuteketea katika eneo la Kwachocha huko Malindi. Tukio hilo lilitokea Ijumaa, Januari 10 alasiri.Ripoti zinaonyesha kuwa ndege hiyo ilianguka kando ya...
Wabunge wa Pwani wanadai haki kwa mzee aliyeuawa na afisa wa KWS
KUNDI la Wabunge wa Pwani (CPG) limeitaka Wizara ya Utalii na Wanyamapori kuharakisha uundaji wa korido ya malisho katika Kijiji cha Yakaliche, Jimbo la Garsen,...
Polisi Wawakamata Waandamanaji wa Mombasa Huku Maandamano ya Kupinga Utekaji nyara Yakiendelea
Polisi wameripotiwa kuwakamata waandamanaji kadhaa waliojiunga na maandamano ya kupinga utekaji nyara mjini Mombasa nchini Kenya. Huku maandamano yakianza katika maeneo kadhaa ya nchi baada...
Finali Ya Wakili Bwire Tournament Jumanne
Hatimaye tournament ya wakili Bwire Msimu wa 2024 itafikia mwisho pale msindi atapatikana kati ya Chala FC na Majengo FC. Mechi zitaanza kwa kutafuta mshindi...