Aliyekuwa Gavana wa Nairobi, Mike Mbuvi Sonko ajiunga na kinyang’anyiro cha ugavana Mombasa kupitia tiketi ya Wiper
Mwanasiasa mahiri na aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Mbuvi Sonko, ametangaza rasmi kujiunga na siasa za kumrithi Hassan Joho kama gavana wa pili wa Mombasa...
Kura ya mchujo wa ODM mjini Mombasa wakumbwa na ghasia
Ghasia na machafuko ya kisiasa ulikikumba chama cha ODM hapo jana mjini Mombasa wakati kikifanya mchujo wa wanachama wake watakao peperusha tikiti mwezi wa August....
?????? ?? ?????? ?????? ???????? ?? ??????? ?? ????? ????? ???? ???? ????????????? ????? ?? ????? ???? ??? ??????? ???????.
Hapo jana wafuasi wa bongo movie na mashabiki wa aliyekuwa movie star wa Filamu za kibongo marehemu Steven Kanumba, waliweza kuadhimisha mwongo mmoja tokea kufariki...
Mwaniaji wa Ubunge wa Kata ya Chaani, Kaunti ya Mombasa kupitia tiketi ya UDA, aaga dunia kwa ajali ya barabara mjini Voi
Nancy Wanjala Mwashuma, ambaye pia ni mgombea ubunge wa kata ya Chaani, katika kaunti ya Mombasa, alianga dunia kupitia ajali mjini Voi alipokuwa akienda nyumbani...
Mwanasiasa wa Mombasa, ambaye pia ni mgombea ubunge wa eneo la Mvita , Ali Mwatsau, ashambuliwa na risasi
Mwanasiasa wa Mombasa, ambaye pia ni mgombea ubunge wa eneo la Mvita , Ali Mwatsau, ashambuliwa na risasi katika eneo la Tudor, Mombasa. Mwanasiasa huyo...
Daktari Ezekiel Mutua Ateuliwa Kama Afisa Mkuu Mtendaji Wa Chama Cha Hakimiliki Kipya Cha Muziki Kenya (MCSK)
Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Uainishaji wa Filamu nchini Kenya (KFCB) Daktari Ezekiel Mutua ameteuliwa kuwa mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa chama cha hakimiliki cha...