Sudan Yavunja Uhusiano Na UAE
Sudan imetangaza kuwa itavunja uhusiano na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), baada ya jeshi kuituhumu UAE kuunga mkono kikosi pinzani cha Rapid Support Forces...
RAISI RUTO ARUSHIWA KIATU AKIWA ZIARA YA KAZI.
Serikali ya Kenya imeelezea tukio la kurushiwa kiatu kwa Rais William Ruto kama la “aibu” na lisilokubalika, wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika Jumapili. Video...
Mombasa Yakumbwa na Tetemeko Kuu la Ardhi
Kenya ilikumbwa na tetemeko la ardhi la wastani siku ya Jumapili, na kusajili ukubwa wa 4.5 karibu na miji yake ya pwani na jiji la...
Mtawala wa kijeshi wa Niger ameapishwa kuwa rais wa nchi hiyo kwa kipindi cha mpito cha miaka mitano
Jenerali Abdourahamane Tchiani ameongoza nchi hiyo tangu 2023, baada ya kumuondoa madarakani Rais mteule wa Niger, Mohamed Bazoum. Siku ya Jumatano, Jenerali Tchiani alichukua wadhifa...
Wafanyakazi wa VOA Kwenda likizo Baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kutia saini amri ya utendaji
Wafanyakazi wa VOA wamewekwa likizo siku ya Jumamosi, baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kutia saini amri ya utendaji Wafanyakazi wa Sauti ya Amerika...
Ndege ndogo yaanguka huko Malindi
Ndege nyepesi imeanguka na kuteketea katika eneo la Kwachocha huko Malindi. Tukio hilo lilitokea Ijumaa, Januari 10 alasiri.Ripoti zinaonyesha kuwa ndege hiyo ilianguka kando ya...