Mtawala wa kijeshi wa Niger ameapishwa kuwa rais wa nchi hiyo kwa kipindi cha mpito cha miaka mitano
Jenerali Abdourahamane Tchiani ameongoza nchi hiyo tangu 2023, baada ya kumuondoa madarakani Rais mteule wa Niger, Mohamed Bazoum. Siku ya Jumatano, Jenerali Tchiani alichukua wadhifa...
Wafanyakazi wa VOA Kwenda likizo Baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kutia saini amri ya utendaji
Wafanyakazi wa VOA wamewekwa likizo siku ya Jumamosi, baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kutia saini amri ya utendaji Wafanyakazi wa Sauti ya Amerika...
Ndege ndogo yaanguka huko Malindi
Ndege nyepesi imeanguka na kuteketea katika eneo la Kwachocha huko Malindi. Tukio hilo lilitokea Ijumaa, Januari 10 alasiri.Ripoti zinaonyesha kuwa ndege hiyo ilianguka kando ya...
Polisi Wawakamata Waandamanaji wa Mombasa Huku Maandamano ya Kupinga Utekaji nyara Yakiendelea
Polisi wameripotiwa kuwakamata waandamanaji kadhaa waliojiunga na maandamano ya kupinga utekaji nyara mjini Mombasa nchini Kenya. Huku maandamano yakianza katika maeneo kadhaa ya nchi baada...
Wundanyi : Eneo La Paranga Kufaidi Mradi Wa Umeme
Rais William Ruto hapo jana alizindua Mradi wa Usambazaji Umeme wa REREC Paranga huko Wundanyi, Kaunti ya Taita Taveta. Mpango huu ni sehemu ya juhudi...
Guinea yaomboleza mashabiki 56 waliokufa katika vurumai za penalti, kadi nyekundu
PENALTI tata na kadi mbili nyekundu zilizotolewa na refa zilisababisha vifo 56 kufuatia vurumai zilizozuka wakati wa mechi kati ya Labe na wenyeji Nzerekore, nchini...