Chadema yatangaza siku saba za maombolezo
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kutokana na matukio ya kusikitisha yaliyosababisha vifo, majeruhi na kupotea kwa baadhi ya Wananchi siku ya October 29,...
Suluhu ndiye suluhu ya Tanzania
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameshinda muhula wa kwanza kamili kwa asilimia 97.66% ya kura zilizopigwa katika uchaguzi wenye utata uliogubikwa na maandamano yenye...
Dkt.Hussein Ali Mwinyi ashinda tena Urais Zanzibar kwa asimilia 74.8 ya kura zote halali
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imemtangaza Dkt. Hussein Ali Mwinyi kuwa mshindi wa nafasi ya Rais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 29...
Zoezi la uthibitishaji la Mfuko wa NYOTA nchini kote linaanza
Zoezi la kitaifa la uthibitishaji wa kipengele cha Usaidizi wa Biashara cha Mpango wa NYOTA limeanza rasmi katika maeneo bunge yote nchini Kenya. Zoezi hilo...
Za Diddy Zafika, Miezi 50 Jela kwa kosa la ukahaba
Mwanamuziki wa Marekani, Sean “Diddy” Combs amehukumiwa kifungo cha miezi 50 jela (takribani miaka 4) pamoja na faini ya Dola 500,000 kwa kosa la usafirishaji...
DOGO JANJA ATUHUMIWA KUMPIGA MWANAFUNZI RISASI .
Jeshi la Polisi mkoani Arusha limesema linafanya uchunguzi wa tukio la Bakari Halifa Daud (18), mkazi wa Sombetini Jijini Arusha kujeruhiwa kwa risasi mguuni na...