Malema Ahukumiwa Jela Miaka Mitano
Mwanasiasa wa upinzani nchini Afrika Kusini, Julius Malema, amehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kosa la kumiliki bunduki kinyume cha sheria na kufyatua risasi...
Matonya kizimbani kwa madai ya unyanyasaji wa kingono
Msanii wa Tanzania, Sefu Shabani 43, anayejulikana zaidi kama Matonya amekamatwa na kushtakiwa nchini Kenya kwa madai ya unyanyasaji wa kingono Matonya, ambaye amewahi kutamba...
Hofu Kivuko Cha Likoni Baada Ya Mwanaume Mmoja Kukamatwa Akiwa Na Kitu Kilichoonekana Kama Bunduki
Hofu iliongezeka katika Kivuko cha Likoni, Mombasa, baada ya mwanamume mmojai kukamatwa akiwa amebeba kitu kilichoonekana kama bunduki, hali iliyowafanya maafisa wa usalama kuchukua hatua...
Serikali yapiga hatua kuhalalisha mnazi, kuwapa afueni wakulima wa minazi wa Pwani
Wakulima wa minazi katika eneo la Pwani huenda wakaruhusiwa hivi karibuni kufanya biashara ya mnazi kufuatia mipango mipya ya serikali ya kutambua kisheria pombe hiyo...
HAKUTAKUWA NA MAZUNGUMZO TENA, IRAN IJISALIMISHE YENYEWE
Rais wa Marekani Donald Trump amesema hakutakuwa na makubaliano yoyote kati ya nchi yake na Iran, isipokuwa taifa hilo lijisalimishe bila masharti, akisisitiza kuwa hatua...
Mahakama Kuu yaamuru serikali kumlipa aliyekuwa Mbunge Basil Criticos Ksh.30M kwa ukiukaji wa haki za kumiliki mali
Mahakama Kuu imeamuru serikali kumlipa aliyekuwa Mbunge wa Taita-Taveta Basil Criticos jumla ya Ksh.30 milioni kwa kukiuka haki yake ya kikatiba ya kumiliki mali. Katika...