Israel Yazidisha Mashambulia Ya Anga Iran!

Share this story

Israel imeanzisha mashambulizi makubwa ya anga dhidi ya Iran usiku wa kuamkia leo.

Vituo vilivyolengwa ni vya kiwango cha juu, vikiwemo:
Kambi ya kijeshi ya Basij
Makao makuu ya IRGC (Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu) yaliyopo mjini Tehran

Hili linaashiria kuongezeka kwa mvutano wa kijeshi kati ya mataifa haya mawili makubwa ya Mashariki ya Kati, na huenda likaleta athari kubwa kwa usalama wa kanda nzima na hata dunia nzima.

Wataalamu wa masuala ya kimataifa wanaonya kuwa hatua hii inaweza kusababisha vita kamili iwapo hali haitadhibitiwa mapema.


Share this story

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Previous post Moses Kuria Hints at 2027 Presidential Run, Says He’s in Talks to Join Jubilee Party
Next post Iran Reportedly Closes Strait of Hormuz After US Attacks