Wakaazi wa Mkocheni, Taveta wabaki bila Makao
Zaidi ya wakazi 300 wa Mkocheni eneo bunge la Taveta kaunti ya Taita Taveta wamejipata bila makao baada ya nyumba zao kubolewa usiku wa kuamka...
BAADHI YA WATU WAPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI ILIYOHUSISHA GARI LA NAEKANA
Habari za kuhuzinisha baada ya baadhi ya watu kupoteza maisha katika ajali iliyotokea eneo la Malili katika barabara kuu ya Nairobi Mombasa. Gari hilo la...
Gavana Andrew Mwadime aongoza viongozi wa TaitaTaveta kupatana na Naibu Raisi
Viongozi wa kaunti ya Taita Taveta leo wamekutana na Naibu Rais jijini Nairobi kwa kikao maalum cha kujadili uboreshaji ushirikiano kati ya serikali kuu na...
Wapare Wapeana Ombi La Kutambuliwa Rasmi Kama Raia Wa Kenya
Naibu wa raisi Kithure Kindiki amepokea rasmi ombi la kutetea uraia na kutambuliwa kama kabila la Wapare katika Kaunti ya Taita Taveta kama raia wa...
Finali Ya Wakili Bwire Tournament Jumanne
Hatimaye tournament ya wakili Bwire Msimu wa 2024 itafikia mwisho pale msindi atapatikana kati ya Chala FC na Majengo FC. Mechi zitaanza kwa kutafuta mshindi...
Wundanyi : Eneo La Paranga Kufaidi Mradi Wa Umeme
Rais William Ruto hapo jana alizindua Mradi wa Usambazaji Umeme wa REREC Paranga huko Wundanyi, Kaunti ya Taita Taveta. Mpango huu ni sehemu ya juhudi...