Mwanamuziki nguli wa Kenya Ally B amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Mwanamuziki Kutoka Pwani, Ally B Khamis anayefahamika kwa vibao vyake Maria & Bembea amefariki dunia katika hospitali ya Coast General. Ally B alikuwa mmoja wa...
Mwanamuziki nguli wa Kenya Ally B amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Mwanamuziki Kutoka Pwani, Ally B Khamis anayefahamika kwa vibao vyake Maria & Bembea amefariki dunia katika hospitali ya Coast General. Ally B alikuwa mmoja wa mastaa wakubwa kutoka ukanda wa Pwani. Muziki wake Kadzo, Maria, na Bembea miongoni mwa wengine utahifadhi kumbukumbu za nguli huyo . Mwanamuziki huyo anayeishi Pwani aliaga dunia Jumatano, Novemba 1.…
Mwanamuziki nguli wa Kenya Ally B amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Mwanamuziki Kutoka Pwani, Ally B Khamis anayefahamika kwa vibao vyake Maria & Bembea amefariki dunia katika hospitali ya Coast General. Ally B alikuwa mmoja wa...
Mwanamuziki nguli wa Kenya Ally B amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Mwanamuziki Kutoka Pwani, Ally B Khamis anayefahamika kwa vibao vyake Maria & Bembea amefariki dunia katika hospitali ya Coast General. Ally B alikuwa mmoja wa mastaa wakubwa kutoka ukanda wa Pwani. Muziki wake Kadzo, Maria, na Bembea miongoni mwa wengine utahifadhi kumbukumbu za nguli huyo . Mwanamuziki huyo anayeishi Pwani aliaga dunia Jumatano, Novemba 1.…
Mwanamuziki nguli wa Kenya Ally B amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Mwanamuziki Kutoka Pwani, Ally B Khamis anayefahamika kwa vibao vyake Maria & Bembea amefariki dunia katika hospitali ya Coast General. Ally B alikuwa mmoja wa mastaa wakubwa kutoka ukanda wa Pwani. Muziki wake Kadzo, Maria, na Bembea miongoni mwa wengine utahifadhi kumbukumbu za nguli huyo . Mwanamuziki huyo anayeishi Pwani aliaga dunia Jumatano, Novemba 1.…
TAITATAVETA: YOUTHS TO BENEFIT FROM LEATHER INDUSTRY TRAINING
Story by David Moto 20 Youths drawn from Mwatate sub county have undergone training in hides and skin tanning, a move aimed at empowering them produce...