Mwandishi wa habari wa Urusi anauza Tuzo la Amani la Nobel kwa dola milioni 103.5 kusaidia watoto wa Ukraine
Mwandishi wa habari wa Urusi Dmitry Muratov, ambaye pia ni mshindi wa tuzo la amani la Nobel, aliuza Tuzo lake la Amani la Nobel kwa...
FIFA : Unaweza kufungwa jela miaka 7 iwapo utapatikana ukifanya ngono nje ya ndoa wakati wa kombe la dunia, nchini Qatar
FIFA imetoa onyo ya kuwa mbinu kali zitatumika kuzuia vitendo vya kufanya mapenzi nje ya ndoa katika mashindano ya mwaka huu ya Kombe la Dunia...
Vanny Boy aweka historia baada ya kuwa Mwafrika wa kwanza kuteuliwa katika tuzo maarufu za Uhispania
Mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka Tanzania Raymond Shaban Mwakyusa maarufu kwa jina la Vanny Boy ameweka historia baada ya kuwa Mwafrika wa kwanza kuteuliwa...
Charity Kaluki NgiluĀ ajiondoa kwa kinyang’anyiro cha ugavana katika kaunti ya Kitui
Gavana wa Kitui Charity Ngilu hatatetea kiti chake katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Agosti 9. Uamuzi wa Ngilu kujiondoa katika kinyang'anyiro cha ugavana uliwekwa wazi...
MWANDISHI ALIYEANDIKA KITABU CHA JINSI YA KUMUUA MUME, AKUTWA NA HATIA YA MAUAJI YA MMEWE NA KUHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA.
Ukistaajabu ya Musa basi utayaona ya Firauni kuna mwamamke mmoja ambaye ni mwandishi wa kitabu chenye jina lenye maana sawa na kusema ''Jinsi ya kumuua...
RHYNO : HATUWEZI KUTAJA UGONJWA UNAOMSUMBUA PROFESA JAY NI JAMBO LA FARAGHA
Black Rhyno ambaye ni Msemaji wa Familia ya Profesa Jay amesema hawawezi kutaja ugonjwa unaomsumbua Profesa Jay kama wengi wanavyotamani kufahamu kwani ugonjwa ni jambo...