Kesi ya kupiga Sonko kuwania kiti cha ugavana Mombasa yaanza leo
Kesi iliyowakilishwa kwa koti ya Mombasa na wakaazi wawili, Ndoro Kayuga na George Odhiambo, kupitia wakili wao Willis Oluga, ya kupiga azma ya aliyekuwa gavana...
Aliyekuwa Gavana wa Nairobi, Mike Mbuvi Sonko ajiunga na kinyang’anyiro cha ugavana Mombasa kupitia tiketi ya Wiper
Mwanasiasa mahiri na aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Mbuvi Sonko, ametangaza rasmi kujiunga na siasa za kumrithi Hassan Joho kama gavana wa pili wa Mombasa...
Kura ya mchujo wa ODM mjini Mombasa wakumbwa na ghasia
Ghasia na machafuko ya kisiasa ulikikumba chama cha ODM hapo jana mjini Mombasa wakati kikifanya mchujo wa wanachama wake watakao peperusha tikiti mwezi wa August....
๐๐๐ฌ๐ง๐ข๐ ๐ฒ๐ ๐๐ข๐ฅ๐๐ฆ๐ฎ ๐ง๐๐ก๐ข๐ง๐ข ๐๐๐ง๐ณ๐๐ง๐ข๐ ๐ง๐ ๐ฐ๐๐๐ฎ๐๐ฌ๐ข ๐ฐ๐ ๐๐จ๐ง๐ ๐จ ๐๐จ๐ฏ๐ข๐ ๐ก๐๐ฉ๐จ ๐ฃ๐๐ง๐ ๐ฐ๐๐ฅ๐ข๐๐๐ก๐ข๐ฆ๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐ฆ๐ข๐๐ค๐ ๐๐ ๐ญ๐๐ง๐ ๐ฎ ๐ค๐ข๐๐จ ๐๐ก๐ ๐๐ญ๐๐ฉ๐ก๐๐ง ๐๐๐ง๐ฎ๐ฆ๐๐.
Hapo jana wafuasi wa bongo movie na mashabiki wa aliyekuwa movie star wa Filamu za kibongo marehemu Steven Kanumba, waliweza kuadhimisha mwongo mmoja tokea kufariki...
Mwaniaji wa Ubunge wa Kata ya Chaani, Kaunti ya Mombasa kupitia tiketi ya UDA, aaga dunia kwa ajali ya barabara mjini Voi
Nancy Wanjala Mwashuma, ambaye pia ni mgombea ubunge wa kata ya Chaani, katika kaunti ya Mombasa, alianga dunia kupitia ajali mjini Voi alipokuwa akienda nyumbani...
Mwanasiasa wa Mombasa, ambaye pia ni mgombea ubunge wa eneo la Mvita , Ali Mwatsau, ashambuliwa na risasi
Mwanasiasa wa Mombasa, ambaye pia ni mgombea ubunge wa eneo la Mvita , Ali Mwatsau, ashambuliwa na risasi katika eneo la Tudor, Mombasa. Mwanasiasa huyo...