Jubilee Issue Direct Nomination Certificate To TaitaTaveta Aspirants
The Jubilee Party NEB Chair Wakili Stephen Wandeto has today issued direct nomination certificates to aspirants vying in Taita Taveta County. Led by Jubilee Deputy...
Aliyekuwa Gavana wa Nairobi, Mike Mbuvi Sonko ajiunga na kinyang’anyiro cha ugavana Mombasa kupitia tiketi ya Wiper
Mwanasiasa mahiri na aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Mbuvi Sonko, ametangaza rasmi kujiunga na siasa za kumrithi Hassan Joho kama gavana wa pili wa Mombasa...
Kura ya mchujo wa ODM mjini Mombasa wakumbwa na ghasia
Ghasia na machafuko ya kisiasa ulikikumba chama cha ODM hapo jana mjini Mombasa wakati kikifanya mchujo wa wanachama wake watakao peperusha tikiti mwezi wa August....
Mwaniaji wa Ubunge wa Kata ya Chaani, Kaunti ya Mombasa kupitia tiketi ya UDA, aaga dunia kwa ajali ya barabara mjini Voi
Nancy Wanjala Mwashuma, ambaye pia ni mgombea ubunge wa kata ya Chaani, katika kaunti ya Mombasa, alianga dunia kupitia ajali mjini Voi alipokuwa akienda nyumbani...
Mwanasiasa wa Mombasa, ambaye pia ni mgombea ubunge wa eneo la Mvita , Ali Mwatsau, ashambuliwa na risasi
Mwanasiasa wa Mombasa, ambaye pia ni mgombea ubunge wa eneo la Mvita , Ali Mwatsau, ashambuliwa na risasi katika eneo la Tudor, Mombasa. Mwanasiasa huyo...
Gavana Wa TaitaTaveta Granton Samboja Atoroka Chama Cha Wiper Na Kujiunga Na Jubilee
Gavana wa TaitaTaveta County hapo jana aliondoka chama cha Wiper na kujiunga na chama cha Jubilee. Hapo awali Samboja alionyesha dalili ya kujiunga na chama...