IEBC yaanza zoezi la kuidhinisha wagombea ubunge Taveta mapema leo
Wawaniaji wawili ubunge eneo la Taveta mapema leo waliwakilisha vyeti vyao kwa ofisi za iebc. Leo ilikuwa zamu ya Wakili John Bwire na mshindani wake...
Mashua ya Injini yafikia kikundi cha Imbaria, Ziwa Chala
Mheshimiwa Fundi Saleri ambaye pia ni mwakilishi wa kauti ndogo ya Bomeni, TaitaTaveta Leo amekutana na viongozi wa kikundi cha usimamizi wa ufuo cha Imbaria...
Nassir amchagua Mwanahabari Francis Thoya kama mgombea mwenza
Mgombea wa ugavana Mombasa kwatikiti ya ODM Abdulswamad Nassir amemtambulisha aliyekuwa mwanahabari wa Nation Francis Thoya kuwa mgombea mwenza katika kinyang'anyiro cha ugavana Thoya alihudumu...
Kalonzo Apeleka Kampeni Za Wiper Eneo La Taveta, Amshika Mkono Wakili Bwire
Mh. Kalonzo Musyoka na kikosi cha Wiper party, hapo jana kilipeleka kampeni za wiper mjini Taveta. Chama cha Wiper kinawania kushinda viti vya siasa eneo...
Alichokisema Mh. Raila Odinga kuhusu Gavana Kingi katika ziara yake ya kampeni Kilifi
https://youtu.be/AHo9t4Urz40
Samboja picks Priscilla Mwangeka as his running mate
TaitaTaveta governor, Granton Samboja has pick Gender Adviser Priscilla Mwangeka as running mate to deputize him in gubernatorial bid. Mwangeka has been an astute administrator...