Hon.Anselm Mwadime Chao elected as TaitaTaveta County Assembly Deputy Speaker
Anselm Mwadime Chao has been elected as Taita Taveta County Assembly Deputy Speaker after garnering 26 votes,his closest challenger Rose Shingira came in second with...
?????? ???????? ??????? ??????? ??????? ?? ?????? ???????? ??????????? ??????.
Wisdom Mwamburi Kazungu has been elected as Taita Taveta County Speaker after garnering 22 votes,Simon Mwachia came in second with 9 votes,while former Voi MP...
Gavana Andrew Mwadime achaguliwa kuwa mwenyekiti wa Kamati ya Maji, Misitu na Maliasili
wakuu wa kaunti kwa kauli moja walimchagua gavana wa TaitaTaveta, Mh. Andrew Mwadime kuwa mwenyekiti wa Kamati ya Maji, Misitu na Maliasili. "Napenda kuwashukuru Wakuu...
Viongozi wa UDA Taveta waongoza sherehe ya kusherekea ushindi wa Ruto
Viongozi wa UDA na mashabiki wa muungano wa UDA siku ya leo tarehe 17 mosi, waliongoza sherehe ya kusherekea ushindi wa Wiliam Ruto kama raisi...
Joho Akabidhi Mamlaka Kwa Gavana Abdulswamad.
Aliyekuwa gavana wa Mombasa Hassan Joho siku ya leo alipeana mamlaka rasmi kwa mrithi wake Abdulswamad Nassir. Joho alihudumu kwa mihula miwili tangu kuchukua uongozi...
Ruto kurudisha shughuli za Bandari Mombasa
Rais William Ruto leo, Jumanne, Septemba 13 alithibitisha ahadi yake ya kurejesha shughuli za bidhaa katika bandari ya Mombasa. Akizungumza wakati wa kuapishwa kwake, Mkuu...