Mwaniaji wa Ubunge wa Kata ya Chaani, Kaunti ya Mombasa kupitia tiketi ya UDA, aaga dunia kwa ajali ya barabara mjini Voi
Nancy Wanjala Mwashuma, ambaye pia ni mgombea ubunge wa kata ya Chaani, katika kaunti ya Mombasa, alianga dunia kupitia ajali mjini Voi alipokuwa akienda nyumbani...
Mwanasiasa wa Mombasa, ambaye pia ni mgombea ubunge wa eneo la Mvita , Ali Mwatsau, ashambuliwa na risasi
Mwanasiasa wa Mombasa, ambaye pia ni mgombea ubunge wa eneo la Mvita , Ali Mwatsau, ashambuliwa na risasi katika eneo la Tudor, Mombasa. Mwanasiasa huyo...
Daktari Ezekiel Mutua Ateuliwa Kama Afisa Mkuu Mtendaji Wa Chama Cha Hakimiliki Kipya Cha Muziki Kenya (MCSK)
Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Uainishaji wa Filamu nchini Kenya (KFCB) Daktari Ezekiel Mutua ameteuliwa kuwa mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa chama cha hakimiliki cha...
Gavana Wa TaitaTaveta Granton Samboja Atoroka Chama Cha Wiper Na Kujiunga Na Jubilee
Gavana wa TaitaTaveta County hapo jana aliondoka chama cha Wiper na kujiunga na chama cha Jubilee. Hapo awali Samboja alionyesha dalili ya kujiunga na chama...
Vijana Kufaidika Baada Ya Serikali ya Kaunti ya Mombasa Kutia Saini Mkataba Wa Maelewano (MoU) na Mpango wa Kizazi Kenya (GPK)
Serikali ya Kaunti ya Mombasa kupitia Idara ya Elimu na ICT leo imetia saini Mkataba wa Maelewano (MoU) na Mpango wa Kizazi Kenya (GPK) Ushirikiano...
INFOTRAK: Mbunge Nassir Ndiye Mwaniaji Wa Ugavana Mombasa Anayependekezwa Zaidi Kushinda Omar na Shabaal
Hon. Nassir, Abdullswamad Sheriff ndiye mwaniaji wa ugavana anayependekezwa zaidi na wananchi wa Mombasa kulingana na utafiti uliofanywa na shirika la infotrak. Utafiti huo uliofanywa...