Timu ya Gambia yaishinda Tunisia dakika za mwisho, Huku Mali wakilemea Mauritania mabao 2 kwa nunge – AFCON
Timu ya Gambia leo imeishinda Tunisia dakika za mwisho, Mechezaji Ablie Jallow aliweza kutinga bao hilo dakika ya tatu ya zaida kipindi cha pili baada...
Riyad Mahrez kurejea Man city baada ya Algeria kuaga AFCON mapema
Mabingwa watetezi wa AFCON walipokea kichapo kutoka kwa timu ya Ivory coast kwa kutandikwa mabao 3-1 na kubanduliwa kwa mashindano ya AFCON. Ushindi dhidi ya...
MARUFUKU YA KUUZA VYUMA CHAKAVU NCHINI KENYA
Rais Uhuru Kenyatta ametoa amri ya kusitishwa kuuzwa kwa vyuma chakavu nchini Kenya hadi mipango kamili itakapo wekwa. Raisi aliagiza kutozwa malipo ya uhaini kwa...
Mameneja tisa wa Kenya Power sasa watazuiliwa kwa siku nane ili kuruhusu polisi kukamilisha uchunguzi wao kuhusu madai ya hujuma.
Washukiwa hao walikamatwa siku ya Jumanne kuhusiana na madai ya kuhujumu usambazaji wa umeme ambao uliathiri sehemu nyingi kwa siku mbili mfululizo wiki iliyopita. Kulingana...
FARMER ISAAC ALUOCHIER’S SUBMISSION DURING BBI CASE AT SUPRIME COURT
"Who is boss in this country? Is it Martha Koome, Uhuru Kenyatta, David Ndii or us the people? If we the people are boss then...
Kenya and Hungary sign 4 bilateral agreements for cooperation in health, water, Education and diplomacy sectors
President Uhuru Kenyatta with his visiting Hungarian counterpart Janos Ader have sign 4 bilateral agreements for cooperation in health, water, Education and diplomacy sectors. The...